Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mzima hovyoNiogope kusema kwa ajili yako,
Unanipanikia mi ndo nilimuua,
Pita huko
Kwani single mother sio Mwanamke watu mna age kubwa lakini kichwani ni 0-0Huyu Mtumishi amejisahau tu akajikuta ameropoka.
Mwanaye mbona moyo ulisimama tena kwa singo maza
Kwani inamzuia nini!!!??Hivi yule kijana wake hakufariki kwa kadhia kama hii?
Imani ndio kitu gani hasa?NDOA zimefubaa
MAISHA yanachosha
MAPENZI yamepoa
IMANI imepotea
Naona binadam wapo wapo
Kwani nimekukataza usiongee we mbona we ulikuja omba msaada kitu ambacho sio vibaya watu wamsaidie mtoto wako Hana ajira kama angekua Hana mapangufu asingekosa ajiraNiogope kusema kwa ajili yako,
Unanipanikia mi ndo nilimuua,
Pita huko
Ilimshangaza pia ndio maana analiongea ili watu wengine nao wajifunzeHivi yule kijana wake hakufariki kwa kadhia kama hii?
Hivi kama kitu kilitokea kwa mtoto wako huruhusiwi kukitolea mfano watu wajifunze?Huyu Mtumishi amejisahau tu akajikuta ameropoka.
Mwanaye mbona moyo ulisimama tena kwa singo maza
Kama sikosei,mwanaye alianguka akiwa ofisini,hii ni tofauti na mtu anayejiua,au hata mwanaye angejiua bado yeye ana haki kushangaaHuyu Mtumishi amejisahau tu akajikuta ameropoka.
Mwanaye mbona moyo ulisimama tena kwa singo maza
Na Ndo iko hivyo mwanamke wakati unamuoa ni Binti mrembo baada ya mda Mara awe na kitambi, makunyanzi usoni yaani uzuri wote unaisha kinachosikilia mahusiano Tena hapo ni Imani na sio kitu kingineKwani single mother sio Mwanamke watu mna age kubwa lakini kichwani ni 0-0
Mwakasege kaongea Fact kubwa Sana when love fading inabakin Imani
Anaangukaje mwanae si malaika ambaye Hana madhaifu, unapomtuhumu mtoto WA mwenzako fahamu hata wakwako ana madhaifu sio lazima ya fanane lakin ana madhaifu sio malaikaKama sikosei,mwanaye alianguka akiwa ofisini,hii ni tofauti na mtu anayejiua,au hata mwanaye angejiua bado yeye ana haki kushangaa
Kwa yeye kakutuhumu?Anaangukaje mwanae si malaika ambaye Hana madhaifu, unapomtuhumu mtoto WA mwenzako fahamu hata wakwako ana madhaifu sio lazima ya fanane lakin ana madhaifu sio malaika
Uzi unahusu nin kwani sababu swali lako la ajabu kweliKwa yeye kakutuhumu?
Ha ha ha duu jfKwani nimekukataza usiongee we mbona we ulikuja omba msaada kitu ambacho sio vibaya watu wamsaidie mtoto wako Hana ajira kama angekua Hana mapangufu asingekosa ajira
hapa ni kama kuvuana nguo hadharani.Ha ha ha duu jf
Noma sanahapa ni kama kuvuana nguo hadharani.
Haimaanishi kama una umri mkubwa ndio una akili, unaeza ukawa na umri mkubwa lakini ukawa mjinga pia! Kwani wajinga nao huzeeka!Kwani single mother sio Mwanamke watu mna age kubwa lakini kichwani ni 0-0
Mwakasege kaongea Fact kubwa Sana when love fading inabakin Imani
"Amejisahau akajikuta anaropoka"Huyu Mtumishi amejisahau tu akajikuta ameropoka.
Mwanaye mbona moyo ulisimama tena kwa singo maza