DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Sure huyo Mamndenyi yupo depressedHaimaanishi kama una umri mkubwa ndio una akili, unaeza ukawa na umri mkubwa lakini ukawa mjinga pia! Kwani wajinga nao huzeeka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure huyo Mamndenyi yupo depressedHaimaanishi kama una umri mkubwa ndio una akili, unaeza ukawa na umri mkubwa lakini ukawa mjinga pia! Kwani wajinga nao huzeeka!
Unalalamika kuwa umetuhumiwaUzi unahusu nin kwani sababu swali lako la ajabu kweli
Tungesha jinyonga wengi aiseee lakin unatakiwa upate neema ya mungu akuepushe na jambo hilo maana shetan yupo kqznMwalimu Mwakasege amesema kabla vijana hawajaungana Katika Ndoa ni vema wajitafakari kama Mungu ndiye anawaunganisha kwa Imani na siyo Upendo pekee.
Mwalimu Mwakasege amesema Upendo ukipoa basi Imani inaibeba Ndoa yenu.
Inashangaza kuona kijana anaachwa kimapenzi anakimbilia Kujinyonga, amesema Mwalimu.
Source: Upendo tv