Nampurukano
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 1,196
- 1,456
Misemo mingine ya nyerere kuisema ni kuonyesha udhaifu wa marehemu, huo sio unabii ni sawa na baba mwenye nyumba anaiambia familia yake kuwa mlango fulani umelegea akija mwizi atauvunja kirahisi. Siku mwizi akiiba kupitia huo mlango watoto wanasema baba shujaa alitabiri kuingia kwa mwizi kirahisi. Nyerere kama alijua udhaifu wa katiba yetu alikuwa na ushawishi mkubwa wa kuiweka sawa badala ya kusubiri mtu mwenye busara kuitumia, je asipokuwa na busara....