Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
"Watu wengi hawaifahamu power aliyonayo Rais, especially wa kwetu huku". Hatari zaidi ni pale ambapo Rais mwenyewe anaposhindwa kujua the ripple effects za kauli zake.
Rais anachosema bahati mbaya sana kinachukuliwa kuwa amri, hata akiongea kwa utani au akiwa amelewa.
Rais anachosema bahati mbaya sana kinachukuliwa kuwa amri, hata akiongea kwa utani au akiwa amelewa.