Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hata mwenge mzee, Ni ushetani mtupuNyoka ni alama ya dark forces mkuu,nadhani wewe unajua zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mwenge mzee, Ni ushetani mtupuNyoka ni alama ya dark forces mkuu,nadhani wewe unajua zaidi.
Uko sahihi Bubuji,Mwenge ni mpango mkakati wa mchawi maarufuHata mwenge mzee, Ni ushetani mtupu
Ni kweli mkuu Tai ametajwa kwenye Biblia,lakini si unajua Shetani ana tabia ya kuteka mambo ya kimungu na kuyageuza yawe for his advantage.And please also note that Bundi ni ndege,lakini ni kweli pia kwamba anaweza kutumiwa kwa mambo ya kichawi kama vile Njiwa,Paka mweusi,Mbayuwayu nk.Sidhani kama in kweli, Wajerumani walitumia ndege Tai kabla Adam Weisshaupt hajaanzisha illuminati. Nafikiri sababu hasa ni Sifa za Ndege huyo kwani anawakilisha UKUU na UTAWALA hata kwenye Biblia ametajwa sana, Tai anasifa za ajabu na zinazostaajabisha, ni Mtawala wa Anga na kwa kuwa Dini za Kiabrahamu zinaamini Mbinguni ni angani na huyu Tai ni Ndege anayeweza kwenda juu klk ndege wote na uwezo wake wa kuona ni mkubwa sana, hivyo nafikiri ndo maana Himaya nyingi zilipenda kumtumia kama alama yao.
Lkn pia sifa hizo hizo unaweza kuzihamishia kwenye ushirikina pia kama ukipenda, in kama vile sisi tunavyohusisha ndege mzuri Bundi na ushirikina shauri tu ya tabia zake ambazo hatuzielewi.
Wewe jamaa ni falaShida siku hizi mpk kuna mpk masimba mashoga,bora tubaki na twiga wetu tu wao bado hawajapata kashfa.
Au kama vp tumtumie NYEGERE kama nembo ya Taifa.
Mtakatifu wa Ulimwengu wa GizaUko sahihi Bubuji.Case ya mchawi maarufu
Forojo Ganze(Master).Halafu eti watu wanataka kumfanya Nyerere mtakatifu.Ridiculous.
Alishapewa heshima yake wakati wa uongozi wa Mw. Nyerere. Kiwanda cha ku-assemble magari cha NYUMBU!Huyu mnyama Nyumbu ndio Mungu ametubariki watanzania na ndio anastahili kuwa alama na nembo ya Taifa lakini kinyume chake tunamdharau kweli kweli. Ukiangalia katika kuchangia pato la Taifa katika maswala ya utalii na kitoweo, hakuna mnyama hata mmoja anayemfikia, naweza kusema kuwa hata madini tunayoyachimba hayawezi kufikia fedha ambazo watalii wanakuja kwenye msimu wa huyu myama aliyebarikiwa n a mwenye akili ya kipekee anapofanya safari za kuvuka mto mara. Siri hii siku tukigutuka ndio tanzania itafunguka kimaendeleo. Hakuna heshima yoyote tunayompa myama huyu kuanzia kwenye timu za taifa na kadhalika. Huyu ndio rafiki yetu na urithi wetu kuliko hayo ma twiga , kakakuona nyati na simba tunatoyaabudu lakini hayana baraka kwetu.
View attachment 1251596
amerithi mambo mengi ya kikoloniNyerere hakumchagua twiga. Twiga alishachaguliwa tangu enzi za ukoloni alichofanya yeye ni kurithi tuuù
Mengi sana. Hata li ccm lina elements za kikoloniamerithi mambo mengi ya kikoloni
Nijuavyo mimi Dunia nzima Kihistoria nchi zimekuwa zikichagua Wanyama kama alama inayowawakilisha, yaani unaweza kusema mnyama wa nchi, na wengi hapa huchagua mnyama mwenye sifa ya UKUU na UTAWALA, ndo maana nchi nyingi kubwa kama Ujerumani, USA, na Falme nyingi kubwa Duniani wamekuwa wakichagua ndege Tai, huyu ana sifa za ajabu kama nguvu, uvumilivu, ufanisi na pia mwendo mkali kwa kifupi anatawala anga, kwanza wanasema Tai anaweza kuishi mpaka miaka 70, huku kwetu kwa nini hatukuchagua Simba? Huyu Twiga ana nini? Twiga ni alama ya Udhaifu, na hakupaswa kuwa alama ya kutuwakilisha.
Simba ndo Mfalme na mwamba Nyika, hata kwenye Biblia na vitabu vingine vitakatifu sijaona mahali Twiga akitajwa isipokuwa Simba au Ndege Tai, ...
Mfalme wa Anga Tai- USA, Ujerumani na Falme kubwa Duniani!
View attachment 1251330
Urusi brown bear.
View attachment 1251332
Huyu ndo alifaa awe alama yetu, Simba Mfalme wa Nyika na siyo huyo twiga wenu, kwanza analiwa na Simba!
View attachment 1251335
Kwamba tuna genye ?Shida siku hizi mpk kuna mpk masimba mashoga,bora tubaki na twiga wetu tu wao bado hawajapata kashfa.
Au kama vp tumtumie NYEGERE kama nembo ya Taifa.
Twiga hakamatwi na Simba mmoja. Lazima wawe zaidi ya watatu. Hivyo Simba kwa Twiga sio lolote sio chochote. Aende mmoja aone kazi atakayopata.Leo nakuunga mkono wewe mwana Lumumba, kweli tulitakiwa kuwa na nembo ya mnyama mwenye nguvu ma akili. Nahisi twiga katufanya tumekuwa wapole kama tulivyo
Hahah hapana mdau kuna mnyama anaitwa Nyegere au Honey badger kwa kiingereza, ni mtata sana.Kwamba tuna genye ?
Maana mdau mmoja kasema anatumika twiga sababu watanzania ni wakarimu
Mkuu yapo mambo mengi yaliyoandikwa kwenye Biblia,maovu na mema.Kwa mfano imeandikwa kwamba Mfalme Suleiman alioa masuria mia saba,lakini hii haina maana kwamba na sisi tuwe na mitala.Biblia imeandika pia kwamba Musa aliua,lakini hii haina maana kwamba na sisi tuue;Ibrahim alimuoa mjakazi wake,lakini hii haina maana kwamba na sisi tuoe wajakazi wetu;Mfalme Daudi alizini na kuoa mke wa jemadari wake,lakini hii haina maana kwamba na sisi tufanye hivyo nk.nk..Haya yaliandikwa ili kutuonya sisi,so kama tunaona hayako katika mpango wa Mungu,hatuna budi kuyaacha,haijalishi kama yalitumiwa zamani au laa.Pia jiulize, kwanini aliamua mnyama kuwa alama ya taifa letu? Nani alimlazimisha kufanya hivyo na kutii?
Kitabu cha daniel kilichoandikwa miaka zaidi elfu mbili na miatano kiliandika kuwa mnyama anarepresent taifa, tena kabla ya mataifa ya sasa hayajakuwepo,