Mwalimu Nyerere na Mkapa wamepumzika kwa amani, kwanini Magufuli haachwi apumzike kwa amani?

Nimekuelewa mkuu.
 
Hao uliowataja hawana kundi la kuwatetea mitandaon maan, waliyofanya hayahitaj watetezi!! NB; Kama kuna mazuri kafanya mtu je kuna haja ya kuwepo kikundi cha kumtetea ama la!
Uwezo wako wakufikiri ni mdogo saana jitafakari..
 
MATESO ALIYOWATENDEA WATANZANIA WENZAKE NDIYO YANAMFANYA ASIPUMZIKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…