Mwalimu Nyerere na visa alivyokutana navyo

Mwalimu Nyerere na visa alivyokutana navyo

Amestaafu toka mwaka 2005.
YERUSALEMU malizia basi hivyo vituko
lakini usibase sana kutetea utakatifu wakati alikuwa nao kibao, km kina Lucy Lameck pale Moshi akapewa na Ubunge Chamwino alikuwa na mzungu mpaka Mama yetu akapewa Land Rover short chasis akafanyenayo kazi za shamba
ilikuwepo ya Ikulu mdada kingoni akapewa vyeo kibao mpaka akajikuta keep left Morogoro.
sijui km miaka imefika ya kuyaandika haya usisahau kunawa mikono Corona
 
..aliyesimulia hicho kisa ni Mwalimu Nyerere, mkuu wa mkoa, au binti aliyekuwa tayari kudunguliwa?
 
Mfunguke vizuri tufahamu, wengine hatujui mafumbo
Huyo mhaya alimtapeli mwalimu tofali zake za ujenzi. Alikuwa ashastaafu na unajua mwalimu alikuwa anapenda kazi za mikono akachukua watu wafyatue tofali, wakati wanafanya hivyo rafiki yake akawa anakuja mara kadhaa kwenye mradi.
Siku moja akaja na gari kuyabeba walinzi wakauliza kulikoni akawakaripia kuwa hamkuona tunayakagua wote, wakaamini.
Kisa kipo humu JF nilisoma kitambo.
 
Huyo mhaya alimtapeli mwalimu tofali zake za ujenzi. Alikuwa ashastaafu na unajua mwalimu alikuwa anapenda kazi za mikono akachukua watu wafyatue tofali, wakati wanafanya hivyo rafiki yake akawa anakuja mara kadhaa kwenye mradi.
Siku moja akaja na gari kuyabeba walinzi wakauliza kulikoni akawakaripia kuwa hamkuona tunayakagua wote, wakaamini.
Kisa kipo humu JF nilisoma kitambo.
Duuhh, Nshomile yupi huyo? Aliwahi kuongoza kitengo kipi?
 
Kisa cha pili, Mwalimu alikuwa na kawaida ya kuwaandaa viongozi kabla ya kuwateua.

Siku moja majira ya kiangazi Katibu tarafa mkoani alipata barua ikimtaka afike Ikulu tarehe iliyo pangwa. Yule bwana akaogopa sana kuitwa Ikulu kwa Nyerere.
Hiki kisa niliwahi kukisoma hapa JF miaka ya nyuma.
 
Marehemu Nsa Kaisy, aliitwa na Nyerere Ikulu, alio watma wakamletea Jibu kuwa hayupo! akawambia sasa nyie TISS ninao wategemea kwa ajili ya watanzania wote hamjui! nchi hii iko salama kweli? Kusikia hivyo tu wakatimka nje wote kwenda kuanza upya!

Mmoja wao akasema twende palepale nyumbani kwake, Mkewe lazima anajua kitu, wakaenda wakambana mkewe twambie Nsa Kaisy yuko wapi? mkewe akaona isiwe tabu yupo kwa mchepuko wake sehemu fulani leo siku ya 2 hajakuja.

TISS haooo! kwa mchepuko! wakagonga mlango mrembo mzuri sana akafungua! mazungumzo yao yakawa hivi;

chepuko; mnaseamaje.
Tiss; tunamtaka huyo aliyeko ndani!
Chepuko;Nani;
Tiss; Unamjua

Nsa Kaisy akachungulia akaona mijitu imepanda kama mitano, viuononi yametunatuna hivi, Na STG 109 mpyaaa! Daaa! akajua leo yametimia. Mboo ikanywea palepale nywii! akavaa akatoka nje,

Nsa Kaisy; Ni aje wakuu!
Tiss; Unaitwa Ikulu!
Nsa kaisy; daaa!
Tiss; wakapiga kimya,
Ikulu, ofisi ya Nyerere ilikuwa na corridor ndeeefu, so yeye alikuwa anakaa konani mwisho kabisa kiusalama ili mtu akija aonekane vizuri.

Nsa Kaisy alipoingia tu akaonana macho kwa macho na Nyerere, Nyerere alilegeza ile Miwani yake akaangalia kwa juu hivi kama anachungulia shimoni, Palepale Nsa Kaisy Puuuu! chini, Akapepewa na wasaidizi waliokuwepo mara fahamu zikaja!

Nsa Kaisy akasema '' Mzee ni majungu tu! ni majungu tu! mzee! watu wabaya sana,'' Mzanaki akatabasamu akamwambia''
''Bwana wee nimekuteua uwe Mkuu wa Mkoa fulani haya yote ya nini?'' Nsa Kaisy kusikia tena hivi! kwa furaha isiyo kifani ya kuukwaa ukubwa ambao hakuwahi kuuota '' akaanguka tena chini Pwaaaa!!! akapepewa weeee! mpaka alipopona akawa kilema! Onyo Usicheze na Wazanaki!
 
Marehemu Nsa Kaisy, aliitwa na Nyerere Ikulu, alio watma wakamletea Jibu kuwa hayupo! akawambia sasa nyie TISS ninao wategemea kwa ajili ya watanzania wote hamjui! nchi hii iko salama kweli? Kusikia hivyo tu wakatimka nje wote kwenda kuanza upya!

Mmoja wao akasema twende palepale nyumbani kwake, Mkewe lazima anajua kitu, wakaenda wakambana mkewe twambie Nsa Kaisy yuko wapi? mkewe akaona isiwe tabu yupo kwa mchepuko wake sehemu fulani leo siku ya 2 hajakuja.

TISS haooo! kwa mchepuko! wakagonga mlango mrembo mzuri sana akafungua! mazungumzo yao yakawa hivi;

chepuko; mnaseamaje.
Tiss; tunamtaka huyo aliyeko ndani!
Chepuko;Nani;
Tiss; Unamjua

Nsa Kaisy akachungulia akaona mijitu imepanda kama mitano, viuononi yametunatuna hivi, Na STG 109 mpyaaa! Daaa! akajua leo yametimia. Mboo ikanywea palepale nywii! akavaa akatoka nje,

Nsa Kaisy; Ni aje wakuu!
Tiss; Unaitwa Ikulu!
Nsa kaisy; daaa!
Tiss; wakapiga kimya,
Ikulu, ofisi ya Nyerere ilikuwa na corridor ndeeefu, so yeye alikuwa anakaa konani mwisho kabisa kiusalama ili mtu akija aonekane vizuri.

Nsa Kaisy alipoingia tu akaonana macho kwa macho na Nyerere, Nyerere alilegeza ile Miwani yake akaangalia kwa juu hivi kama anachungulia shimoni, Palepale Nsa Kaisy Puuuu! chini, Akapepewa na wasaidizi waliokuwepo mara fahamu zikaja!

Nsa Kaisy akasema '' Mzee ni majungu tu! ni majungu tu! mzee! watu wabaya sana,'' Mzanaki akatabasamu akamwambia''
''Bwana wee nimekuteua uwe Mkuu wa Mkoa fulani haya yote ya nini?'' Nsa Kaisy kusikia tena hivi! kwa furaha isiyo kifani ya kuukwaa ukubwa ambao hakuwahi kuuota '' akaanguka tena chini Pwaaaa!!! akapepewa weeee! mpaka alipopona akawa kilema! Onyo Usicheze na Wazanaki!
mi nimecheka sana ila kuna kamsamiati kamoja hapo ninawamba moderator wakupuumzishe kwa wiki mbili hivi ili kilinda nidhamu ya jukwaa
 
Back
Top Bottom