Mwalimu Nyerere na visa alivyokutana navyo

Mwalimu Nyerere na visa alivyokutana navyo

Marehemu Nsa Kaisy, aliitwa na Nyerere Ikulu,
''Bwana wee nimekuteua uwe Mkuu wa Mkoa fulani haya yote ya nini?'' Nsa Kaisy kusikia tena hivi! kwa furaha isiyo kifani ya kuukwaa ukubwa ambao hakuwahi kuuota '' akaanguka tena chini Pwaaaa!!! akapepewa weeee! mpaka alipopona akawa kilema! Onyo Usicheze na Wazanaki!
Haka kastory kana ukweli maana jamaa alianzia km Mwandishi Uhuru kuna kipindi akiwa chini ya Rais Ben Mkapa, lkn kuparallize naona ni yule Dr
73746 said:
Kuna tofauti kati ya Prof Kaisi na Kanali Nsa Kaisi.
Prof hd 2010 alikuwa MUHAS anafundisha kwa mkataba baada ya kustaafu, na alikuwa amepooza mkono. Hajawahi kuwa RC wala DC, mkewe alipata kuwa Kabidhi Wasii Mkuu, na ndiyo wazazi wa Sarah Kaisi
TANZIA: Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Nsa Kaisi amefariki dunia leo Alhamisi Februari 13, 2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili - JamiiForums
 
Nyerere alikuwa Mwerevu na mwenye uwezo mkubwa wa kuongoza.

Aliwafumbua macho wacheza bao, wale wavaa kobasi waliokuwa na Ilmu Akhera tu.
Mohamed Said

Sent using Jamii Forums mobile app
Azarel,
Kucheza bao ni mila ya makabila mengi na sisi watu wa pwani tumo.

Wazee wetu walikuwa wanapenda kucheza bao kujiburudisha.

Yawezekana kwenu mna namna yenu ya kujiburudisha kama kwenda kwenye vilabu vya pombe za kienyeji na kutumia ulevi.

Makubadhi, seluni au msuli, kanzu,koti na kofia ni moja ya vivazi vyetu vya asili na havina uhusiano wowote na uwezo wa kufikiri.

Sijui ni kitu kipi kinakufanya wewe kila ukinyanyua kalamu ni kutukana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui ni kitu kipi kinakufanya wewe kila ukinyanyua kalamu ni kutukana.
Halafu weee Babu bana kila kitu "Tusi'' Dharau" aahh! dis is too much! '' kumfumbua mtu macho si jambo jema?
 
Halafu weee Babu bana kila kitu "Tusi'' Dharau" aahh! dis is too much! '' kumfumbua mtu macho si jambo jema?
Smaki,
Uko sawa inawezekana kweli si tusi kutegemea na malezi mtu alivyolelewa na wazazi wake.

Mathalan kwa umri wangu mimi wa kuitwa babu ni umri mkubwa sana sasa heshima kwa nilivyofunzwa mimi na mama yangu mtu mzima mzee huwezi kumwita "weee,' lakini huenda mama yako hakukufunza kuwa hivyo si sawa au unakotokea hivyo si vibaya kwa hiyo hujui kuwa ni vibaya.

Sikulaumu.
Tuyaache haya tuendelee na mjadala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Smaki,
Uko sawa inawezekana kweli si tusi kutegemea na malezi mtu alivyolelewa na wazazi wake.

Mathalan kwa umri wangu mimi wa kuitwa babu ni umri mkubwa sana sasa heshima kwa nilivyofunzwa mimi na mama yangu mtu mzima mzee huwezi kumwita "weee,' lakini huenda mama yako hakukufunza kuwa hivyo si sawa au unakotokea hivyo si vibaya kwa hiyo hujui kuwa ni vibaya.

Sikulaumu.
Tuyaache haya tuendelee na mjadala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Weee Swahili slang ni ''wewe'' tafsiri yake kwa Honorific grammatical English is ''you'' so if the the subject pronoun ''you'' is an Insult to you there Must be something wrong- kwa hiyo jamii ilokufundisha, Km wewe nimwandishi kweli unajua Lugha yeyote ina uhai, kwa maana kuwa inazaliwa, inakua na inakufa. unapaswa wende na wakati,

Hata km ulifundishwa na Mama yako huyo hakukwambia kwamba kuna wengine hawajui matumizi ya Lugha ya Pwani aliyotumia kukufundishia? Hatulaumiani bali tunawekana sawa katika matumizi.

Kum- judge mtu kuwa ''unatukana kila unaponyanyua kalamu ni tusi zaidi''
 
Weee Swahili slang ni ''wewe'' tafsiri yake kwa Honorific grammatical English is ''you'' so if the the subject pronoun ''you'' is an Insult to you there Must be something wrong- kwa hiyo jamii ilokufundisha, Km wewe nimwandishi kweli unajua Lugha yeyote ina uhai, kwa maana kuwa inazaliwa, inakua na inakufa. unapaswa wende na wakati,

Hata km ulifundishwa na Mama yako huyo hakukwambia kwamba kuna wengine hawajui matumizi ya Lugha ya Pwani aliyotumia kukufundishia? Hatulaumiani bali tunawekana sawa katika matumizi.

Kum- judge mtu kuwa ''unatukana kila unaponyanyua kalamu ni tusi zaidi''
Smaki,
Ahsante kwa ufafanuzi tuendelee na mjadala ulioko mezani.

Nimesema haya yafuatayo:

"Azarel,
Kucheza bao ni mila ya makabila mengi na sisi watu wa pwani tumo.

Wazee wetu walikuwa wanapenda kucheza bao kujiburudisha.

Yawezekana kwenu mna namna yenu ya kujiburudisha kama kwenda kwenye vilabu vya pombe za kienyeji na kutumia ulevi.

Makubadhi, seluni au msuli, kanzu,koti na kofia ni moja ya vivazi vyetu vya asili na havina uhusiano wowote na uwezo wa kufikiri.

Sijui ni kitu kipi kinakufanya wewe kila ukinyanyua kalamu ni kutukana."

Haya ndiyo majibu yangu kwa kile nilichoona si maneno ya kiungwana.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Smaki,
Ahsante kwa ufafanuzi tuendelee na mjadala ulioko mezani.

Nimesema haya yafuatayo:

"Azarel,
Kucheza bao ni mila ya makabila mengi na sisi watu wa pwani tumo.

Wazee wetu walikuwa wanapenda kucheza bao kujiburudisha.

Yawezekana kwenu mna namna yenu ya kujiburudisha kama kwenda kwenye vilabu vya pombe za kienyeji na kutumia ulevi.

Makubadhi, seluni au msuli, kanzu,koti na kofia ni moja ya vivazi vyetu vya asili na havina uhusiano wowote na uwezo wa kufikiri.

Sijui ni kitu kipi kinakufanya wewe kila ukinyanyua kalamu ni kutukana."

Haya ndiyo majibu yangu kwa kile nilichoona si maneno ya kiungwana.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Smaki,
Mwalimu Nyerere akifuturu na Mzee Kisoki na Kawawa nyumbani kwa Mzee Kisoki.

Mzee Kisoki kavaa kofia ya mkono koti na kanzu na Kawawa kavaa kofia ya mkono pia.

Naamini kuna ujumbe umeupata katika picha hii kuhusu mavazi.
IMG-20200429-WA0098.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom