Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka na wewe ni ndugu wa mume kwa Kaka zako. So don't generalizeAchana na chuki za ndugu wa mume ni hatari
Ndio tena wa damu moja wako wa4 na wote wameoaKumbuka na wewe ni ndugu wa mume kwa Kaka zako. So don't generalize
Badoo mpk sasa
Badoo mpk sasa
Kwani wewe ni njagu mkuu mbona maswali mengi sanaJe tukikuita hapa central unaweza kutoa ushahidi wa unayoyasema hapa?
kumbeeealishaipata tangu juzi amepost sema hajaifatilia au yupo anafatilia
Ndio walewale! We mwache.Kwani wewe ni njagu mkuu mbona maswali mengi sana
Bado weweHizi habari nimechoka
Nin?Bado wewe
Lione hili lingese[emoji848][emoji848]
Basi hapo unajiona umeandika madini kumbe tantalila tuu!
Kwani ni lazima niwe na device moja ambayo labda naitumia humu?[emoji1745]
In short we ni mjinga na mshamba kuona mtu kutumia tecno ndo hana uwezo wa kubadili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Fankuro Madonna!
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mi naipenda ila kutoa milioni 2 hapanaKuna watu hawapendi kutumia iphone kabisaaa na uwezo wa kununua
Hizi habari nimechoka
We unataka pesa yako iende kwenye shida jipe raha uupe mwili poleMi naipenda ila kutoa milioni 2 hapana