Mwalimu Shule ya Msingi, Flora Mariki auawa kwa kuchomwa kisu na mtoto wa shemeji

Mwalimu Shule ya Msingi, Flora Mariki auawa kwa kuchomwa kisu na mtoto wa shemeji

Nasikia Marehemu alikuwa anazuia binti aliyemchoma kisu asiende kuongea ukweli kama anachepuka na boda,Marehemu alimrushia chupa binti kichwani,binti akajibu mashambulizi kwa kumchoma kisu.

FB_IMG_16226541406434006.jpg
 
Mimi nadhani hii Sheria ya "tumechuma wote" ingekuwa reviewed, halafu Mwanamke anapewa "first priority" ni hatari sana, dada zangu hawaelewi!!
Waache watamalizwa wala hawajifunzi kutoka kwa wengine. Mtu umeshaona hutakiwi tena bado unaendelea kuishi pale kisa mali.
 
Ifike mahali mtu unapoona migogoro isyotatulika ndani ya familia ni bora ujiondokee, naamini huyu dada hajauliwa from no where, its either kulikua na mgogoro wa muda mrefu usiotatulika ambao sasa umepelekea mauti yake

Halafu alikua anaishi kwenye nyumba ya familia na extended family, aliona ugumu gani kwenda kupanga na mumewe sehemu tofauti, ingesaidia kuepusha migogoro isyo na maana, au kama mume nae alikua sehemu ya mgogoro na wameshindwa kutatua ni heri angeondoka
Inawezekana labda mume na mke walikuwa walimu wakajifanya wanabana matumizi siunajua maisha ya maticha yalivyo na wanapenda kujinyima sana.
 
Sure mkuu yaani mchaga kuishi na ndugu zako ni kazi sana Sana. Ila Sasa yeye wa kwao poa Sana mpaka na mitaji anataka uwape ya biashara. Ukikataa anakutanguliza eternal home.
Kuna mmoja ivi anaishi na ndugu wa mke Kama watatu ivi Ila mme hakuna hata mmoja wanafukuzwa kuwa ni wezi hapo mbezi temboni..
Dah, halafu nimepata mchumba mkibosho...ngoja nitafakari haya maneno.
 
Nasikia Marehemu alikuwa anazuia binti aliyemchoma kisu asiende kuongea ukweli kama anachepuka na boda,Marehemu alimrushia chupa binti kichwani,binti akajibu mashambulizi kwa kumchoma kisu.

View attachment 1806296
Kwa kweli. Asingemchoma bila sababu. Great thinkers tulihisi habari ilikuja nusu. Sasa tumepata picha.
 
Acha show off za mitandao ilihal unadanga tu,

Niliona post umepewa garama za biashara ya madini ukaambiwe uwe na 15M bado ukahaha eti nyingi.
Kelele nyingi kama chiriku haKuna kitu.
Haahaa hahaa machinga boy umeona hii shida ya kushinda na kulala kwa dada zako?[emoji16][emoji16]....full kunifatilia, mara mtaji wa madini mara tecno[emoji1745][emoji1745]... Mwanaume kamili hawezi kuwa na hii tabia umesikia juma lokole?

Umezoea kusutana na dada zako unataka uniletee na mimi hizo, ntakupiga knock out, jinga kabisa

Sasa nikidanga we unaumia kwa wapi? Eeh we mpashkuna mwenzangu??


......
......

Ngoja niweke kigoda vizuri nisutane nawe shost angu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Daah Mkuu nakubaliana na ww.

Wanawake wenye shingo za hivyo huwa nawachukulia kiupekee sana.
Daa yaani bana itabidi Tuwe pamoja tywe tunapeana kazi mkuu. Afu na huyu mdada alikuwa ni mzuri balaa. Yaaani naweza nikaishi naye huko zenj ama bagamoyo mwezi mzima mmejificha tu ndani. Ni mwendo wa simu mnatoa Oda. Sema waweza kuta huko chini asiwe Kama anavyoonekana anakataga stimu ni balaa aisee.
 
Dah, halafu nimepata mchumba mkibosho...ngoja nitafakari haya maneno.
Nakuomba usiogope mkuu. Omba Mungu Mana kila binadamu Ana namna alivyoumbwa. Sema mie nachojua Kuna wanaume wengi Sana wa kichaga hawali chakula Cha wake zao wakianza kuwashtukia. Wengine wanajenga mke hajui Ila wamepanga tu.
Unakumbuka yule mchaga alikodi majambazi wakaue mmewe kule dumila miaka fulani. Mme alikuwa mkikuyu baadaye simu yake ikasikika hamjammaliza tu huyo fala. Yaani bana ji changamoto Sana.
Sema wanakuchangamsha Mali utazipata sema Sasa hapo ndo timbwili linaanza mkuu.

Wakibosho katika kabila zote za kichaga wao kisu mkononi Sana pamoja na bangi wale marasta ndo kwao huko.
 
Poleni sana,Wafiwa. Mwl Flora namfaham, mara kadhaa nilikutana nae Kisarawe akiwa na gari aina ya hurrier, nadhani ni ya mumewe. Alikuwa mara kwa mara akinambia anaipenda sana fani yake na amejitolea kusaidia watoto. Mungu amlaze pema rafiki yetu Flora.
 
Nimeona kwa Joyce kiria wanasema huyo dada alikua anaishi kwenye nyumba ya familia yaani ni extended family,jamaa alioa na kwenda kuishi na mke hapo nyumbani kwao ambapo pia wanaishi ndugu wengi wa mume na watoto wao

View attachment 1806094
Dada joy hyu binti anaitwa Flora kuna kingine Vick Marik mzaliwa wa Rombo ila ameolewa dar anaish extended family ameuawa na mtoto wa shemeji yake juzi wakat wanamkimbiza hos akafariki tupinge ukatili wa kijinsia jamani.Tupaze sauti


Dada Joy taatifa za kuuwawa kwa ndugu yetu Florah Mariki ni kweli kabisa ameshambuliwa na visu na ndugu wa mume msiba upo Tabata segerea na upande wa mume hawatupi ushirikiano tujue chanzo ni nini. Binti aliyemshambulia ndugu yetu na visu huyu hapa anayo miaka 22 ni mtoto wa shemeji yake. Ndugu yetu aliyeuawa ni huyu naomba utusaidie kisheria kupaza sauti.” TUUNGANE PAMOJA KUKEMEA ONGEZEKO LA UKATILI MAJUMBANI.


inakuwaje mashosti wanadai haki badala ya ndugu wa mwanamke
Huyo joyce yondo sister atawasaidia nini?sheria itachukua mkondo wake bila hata kulazmisha kupaza sauti,kesi ya mauaji haiepukiki
 
Daa yaani bana itabidi Tuwe pamoja tywe tunapeana kazi mkuu. Afu na huyu mdada alikuwa ni mzuri balaa. Yaaani naweza nikaishi naye huko zenj ama bagamoyo mwezi mzima mmejificha tu ndani. Ni mwendo wa simu mnatoa Oda. Sema waweza kuta huko chini asiwe Kama anavyoonekana anakataga stimu ni balaa aisee.
Yaani Mkuu Daah, Ww ni mimi kabisa wengi wao wabovu dizain flan kwa chini ila wana muonekano bomba sana na roho ya huruma.
 
....Umekurupushwa Mkuu? Mwalimu wa Shule Gani??
RIP Mwalimu.
Sababu ilikuwa nini hadi kuchomwa Kisu na Shemeji yake?....hadi ndugu zake wazuiwe kushiriki Msiba wa Ndugu Yao???
Si mwalimu wa shule ya msingi Flora mariki? Ama mi ndo sijaelewa jina la shule ?
Hapa nahangaika kutafuta jina la marehemu ndo sijaliona !

Rip mwalimu
 
Nakuomba usiogope mkuu. Omba Mungu Mana kila binadamu Ana namna alivyoumbwa. Sema mie nachojua Kuna wanaume wengi Sana wa kichaga hawali chakula Cha wake zao wakianza kuwashtukia. Wengine wanajenga mke hajui Ila wamepanga tu.
Unakumbuka yule mchaga alikodi majambazi wakaue mmewe kule dumila miaka fulani. Mme alikuwa mkikuyu baadaye simu yake ikasikika hamjammaliza tu huyo fala. Yaani bana ji changamoto Sana.
Sema wanakuchangamsha Mali utazipata sema Sasa hapo ndo timbwili linaanza mkuu.

Wakibosho katika kabila zote za kichaga wao kisu mkononi Sana pamoja na bangi wale marasta ndo kwao huko.
Dah. Hao watu ni hatari sana.
 
Sasa hata kama ndugu za huyu Mwalimu wasipopewa ushirikoano na hio familia iliyotuhumiwa kwa mauaji, Kwani sheria hazitachukuliwa dhidi yao? Hapo baadhi ya watu kwenye hio familia wanaenda Ngome muda si mrefu.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hatahivo njia zilizopelekea kifo ndg hazizuii upande wamumewake(mumewe mwenyewe kusimamia mirathi na ikitoka yeye na watotowake ndo wanufaika wengi(yeye na watoto),kwa baba mkwe kama wapo sawa watapata kama yupo atapata kama hawapo basi tena,kikubwa wanawake ishini upya nahao watoto ndg au hatawasaidiziwenu wandan
 
Back
Top Bottom