Mwalimu wa field aliyesambaza picha za watoto wamekaa chini kufukuzwa (uhaba wa madawati)

Nashindwa kuelewa, kosa lake ni nini haswa?
 
Kimsingi si vizuri kumuanua muajiri wako madhaifu yake. Wanaofanya hivyo ni makachero waliotumwa au kujituma kupekuapekua udhaifu, hala kuna wale walimu wanafiki, unaadhibu mwanafunzi yeye anarekodi video na kuisambaza, walimu wa hivi huenda wana kazi zingine wanazotumwa. Mi niadhibu mwanafunzi mtovu wa nidhamu halafu mwalimu mwenzangu anirekodi, hiyo simu nitaipasuapasua, sitaki unafiki
 
Hakuna mtoto atadahiriwa pasipo mzazi kulipia/changia dawati. Hilo ni hitaji la lazima kwa mwanafunzi wa sekondari.
Huyo mwalimu wa kujitolea alifanya kitendo hicho kwa maksudi tu ili apate cha kupost kwenye mitandao ya kijamii.
 
Kwenye hz shule za serikali kuna watoto ni wajasiri huwez amini,unashangaa dogo anakuletea zawadi wakati wa jioni

aJabu ni kuwa,mwalimu mpya wa kiume huwa anaanza kuwa karibu na wanafunz wa kike haraka kuliko wa kiume
🀣🀣🀣Ndo ivo
 
DSM kuna shule ya sekondari wanafunzi wamekisa madawati wanakaa chini sembuse huko Mbeya.
Kuna uongo ktk taarifa hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…