Mwalimu wa field aliyesambaza picha za watoto wamekaa chini kufukuzwa (uhaba wa madawati)

Nmeielewa JEANS ya madoa doa ya mwalimu, Dah! Bila kuwepo somo la MAADILI nchi hii itakuwa ngumu mno. Walimu kizazi kipya kazi ipo
 
Mbona hawajatatua tatizo mambo ya madawati na vyumba vya hovyo hivyo utadhani sio shule wao wanaona sawa madirisha hayana kitu chochote utadhani milango huyo Mwanasheria wa wawapi anakua kilaza hivyo...
 
Imeelezwa kuwa mwishoni mwa wiki madawati yote ya shule hiyo yalitolewa nje ya vyumba kwa ajili ya kuyaandika majina ya wanafunzi ili kila mwanafunzi awe na dawati lake ambalo atakuwa analitumia na kulitunza mpaka atakapohitimu kidato cha nne.
Hayangeweza kuandikiwa humohumo darasani?
 
Upumbavu ni mzigo mkubwa sana kwanini wasingempa tuzo kwa ajili ya kufichua uozo badala yake wanamfukuza, SHAME yaani badala aliyeonyesha panapovuja ashukuriwe ili pazibwe matokeo yake anaadabishwa, fisiemuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu imechoka sana inahitaji kupumzika hii ni AIBU
 
Binafsi

Nampongeza Mwalimu KWA kazi nzuri!

Kupitia yeye wanafunzi wamepata madawati japo ni ya mchongo coz sekondari hawatumii madawati kama hayo bali ni viti na meza!

Walimu kama huyo kijana aliepost Ndio wazalendo na anapaswa apewe ajira haraka Sana!!

Namshauri mkurugenzi amuajiri Mwalimu huyo KWA ushujaaa na uzalendo wake!

Taifa linajengwa na wenye kuthubutu na sio waoga!!

Mungu ibariki Tanzania NCHI yetu tuipendayo Sana
 
Mbona maandishi ni ya zamani na madawati yenyewe sii mapya,kwanini yatolewe nje na kuandikwa leo,,🤔 Tafakari chukua hatua 🏃🏃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…