Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Inasikitisha sana kijana miaka 22 unakwenda gerezani miaka 30 kwa tamaa za kijinga sana. Namuona katika gharika huyo kijana. Jela pasikieni ni nusu jahanam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tranding ya matukio nayo inachangia usilalamike sana.Ingekuwa ni ustadh wa madrasa tungeona mtiririko mrefu lakini mwalimu wa kanisa kimyaaa.
Angekuwa mtoto wako ndio kafanyiwa hvyo ungejiskiaje kumuona mhusika mtaan baada ya akipewa msamaha? Vip hali ya mtoto wako atakayo kuwa nayo atakapo ona mtu aliemfanyia hicho kitendoMama mwema na mpole, Samia Suluhu Hassan, ampe msamaha kama alivyofanya kwa wengine siku za kwanza za Urais wake.
Sio mimi.Angekuwa mtoto wako ndio kafanyiwa hvyo ungejiskiaje kumuona mhusika mtaan baada ya akipewa msamaha? Vip hali ya mtoto wako atakayo kuwa nayo atakapo ona mtu aliemfanyia hicho kitendo
mshafukua
ingekua ni mkobazi amefanya hivi, siredi ingegonga page ya 100 sasaKuna watu wajinga sana wanapenda kuleta mada za kuwagawa watanzania na kuleta chuki za kidini miongoni mwao ni huyu mpumbavu Azarel
ingekua ni mkobazi amefanya hivi, siredi ingegonga page ya 100 sasa