Mwalimu wa Kike apigwa na Mwalimu Mkuu

Mwalimu wa Kike apigwa na Mwalimu Mkuu

T
MWALIMU WA KIKE APIGWA NA MWALIMU MKUU NA KUVUNJWA JINO MOROGORO VIJIJINI. WENZAKE WAMUOMBA ASKOFU MWAMAKULA ASAIDIE KUPAZA SAUTI ILI MAWAZIRI WENYE DHAMANA WASIKIE NA KUINGILIA KATI

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Tunapenda kukujulisha tukio la kusikitisha lililomkuta mwalimu mwenzetu aitwaye Witness Makoti wa Shule ya Msingi Mkuyuni iliyopo Tarafa ya Mkuyuni katika Wilaya ya Morogoro Vijijini Mkoani Morogoro.

Siku ya Ijumaa, tarehe 15 Oktoba 2021 muda wa Saa 6 mchana, Mwalimu Witness Makoti ambaye ni mwanamke alikuwa akiongea na wanafunzi watatu darasani. Wakati akiongea na watoto wake, ghafla alishambuliwa na kuanza kupigwa na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ambaye ni mwanaume aitwaye Mussa Hasira. Alipigwa sana lakini aliokolewa na mwalimu mmoja.

Baada ya kushambuliwa na kupigwa, Witness alikwenda kuripoti katika Kituo cha Polisi cha Mkuyuni na kupewa PF3 ya kwenda Zahanati ya Mkuyuni na kupata matibabu ya awali. Baada ya hali kuendelea kuwa mbaya, leo Jumapili alikwenda Hospitali ya Nunge kwa matibabu zaidi ambapo imegundulika kuwa Witness ana vidonda mdomoni na pia amevunjwa jino.

Hali yake ya kiafya mpaka sasa siyo nzuri sana na inazidi sana na ameleza pia kuwa pressure imempanda. Hadi muda huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini na Mkuu wa Wilaya hawana taarifa.

Mwalimu Witness Makoti anahofia usalama wa maisha yake kwani ameelezwa kuwa Mwalimu Mkuu alimfuata mwalimu aliyemgombelezea Witness akaanza kumlaumu na kusema kuwa angelimuacha bila kumgombelezea ili amuue kabisa.

Mwalimu Witness Makoti ameomba asaidiwe katika kulipazia sauti jambo hili aweze kupata msaada kusudi haki iweze kutendeka lakini pia ili kuokoa maisha yake.

Tunaambatanisha picha ya Mwalimu Witness Makoti hapa chini.

Tunakushuru sana Baba Askofu Mwamakula kwa kutupokea na tunaamini kuwa kupitia sauti yako, Witness atapata msaada anaouhitaji. View attachment 1977987
Tunaomba picha full ya huyu mwalimu wa kike, Witness.Unamnyima mwl mkuu unategemea nini? Halafu unajifanya kuchonga eti simtaki na nimeshampiga chini mara oooh, amenitongoza.Kwani ukitongozwa ni lazima utangaze au unataka uonekane special? Hivi PJ na Aunt Lindi Kuna chemistry gani? Sam ni shida
 
Kabla ya kuhukumu siku zote ni vema kusikiliza upande wa pili........
No matter the situation....
No, hata kama Witness alisema neno lolote ambalo (labda) lilimuudhi huyo mwalimu mkuu, bado hakupaswa kuchukua hatua yoyote ya kudhuru mwili. Alipaswa kufuata taratibu na sheria. Mwalimu mkuu anatakiwa awe mfano bora kwa walimu na wanafunzi, badala yake anakuwa mtovu wa nidhamu! Huyu kweli alipata mafunzo kupitia vyuo vyetu? Je, wanafunzi na walimu katika shule yako ( kama mwalimu mkuu), watajifunza nini toka kwako? Jitafakari kwanza mwenyewe kabla hujachukuliwa hatua.
 
Usikute huyo mwalimu alikuwa anapigwa ‘mtungo’ na hao vijana3, itakuwa vizuri kama na mwl mkuu hasira na yeye akiweka hazaran sababu ya kutoa kichapo…..
 
Pole kwa mwalimu Witness
Kumpiga mwenzio haikubaliki hata awe mke wa ndoa, vyovyote vile itakavyokuwa.

Lakini tuelezeni ikiwa mwalimu mkuu sio kichaa kwanini aliamua kumpiga Witness na sio kumpiga mwalimu mwingine?
Mwalimu mkuu sio kichaa bali wivu wa mapenzi unahusika
 
MWALIMU WA KIKE APIGWA NA MWALIMU MKUU NA KUVUNJWA JINO MOROGORO VIJIJINI. WENZAKE WAMUOMBA ASKOFU MWAMAKULA ASAIDIE KUPAZA SAUTI ILI MAWAZIRI WENYE DHAMANA WASIKIE NA KUINGILIA KATI

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Tunapenda kukujulisha tukio la kusikitisha lililomkuta mwalimu mwenzetu aitwaye Witness Makoti wa Shule ya Msingi Mkuyuni iliyopo Tarafa ya Mkuyuni katika Wilaya ya Morogoro Vijijini Mkoani Morogoro.

Siku ya Ijumaa, tarehe 15 Oktoba 2021 muda wa Saa 6 mchana, Mwalimu Witness Makoti ambaye ni mwanamke alikuwa akiongea na wanafunzi watatu darasani. Wakati akiongea na watoto wake, ghafla alishambuliwa na kuanza kupigwa na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ambaye ni mwanaume aitwaye Mussa Hasira. Alipigwa sana lakini aliokolewa na mwalimu mmoja.

Baada ya kushambuliwa na kupigwa, Witness alikwenda kuripoti katika Kituo cha Polisi cha Mkuyuni na kupewa PF3 ya kwenda Zahanati ya Mkuyuni na kupata matibabu ya awali. Baada ya hali kuendelea kuwa mbaya, leo Jumapili alikwenda Hospitali ya Nunge kwa matibabu zaidi ambapo imegundulika kuwa Witness ana vidonda mdomoni na pia amevunjwa jino.

Hali yake ya kiafya mpaka sasa siyo nzuri sana na inazidi sana na ameleza pia kuwa pressure imempanda. Hadi muda huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini na Mkuu wa Wilaya hawana taarifa.

Mwalimu Witness Makoti anahofia usalama wa maisha yake kwani ameelezwa kuwa Mwalimu Mkuu alimfuata mwalimu aliyemgombelezea Witness akaanza kumlaumu na kusema kuwa angelimuacha bila kumgombelezea ili amuue kabisa.

Mwalimu Witness Makoti ameomba asaidiwe katika kulipazia sauti jambo hili aweze kupata msaada kusudi haki iweze kutendeka lakini pia ili kuokoa maisha yake.

Tunaambatanisha picha ya Mwalimu Witness Makoti hapa chini.

Tunakushuru sana Baba Askofu Mwamakula kwa kutupokea na tunaamini kuwa kupitia sauti yako, Witness atapata msaada anaouhitaji. View attachment 1977987
Kwa hii Picha tu hapa ya huyu Mwalimu ( Mwanamke ) aliyepigwa na Mwalimu Mkuu ( Mwanaume ) nitakuwa wa mwisho Kutokuamini kuwa sababu Kuu na ya Msingi ni 'Mbunye' na hakuna kingine na tusipotezeane muda katika Kulihoji.

Na ifike muda sasa Wanaume tuambiane Ukweli ni Ushamba ( Umbwiga ) na Upumbavu ( Upopoma ) kudhani au Kuhalalisha kuwa kila Mwanamke utakayemtongoza tu hata kama una Cheo na Pesa basi ni lazima akupe 'Mbunye' yake.

Wewe ni nani usikataliwe? Anakataliwa GENTAMYCINE tena Mtoto wa Mjini ( Down Town ) kabisa utakuwa Wewe uliye Kijijini ( Mashinani ) huko? Mkiambiwa Siku moja moja Nyege zikiwapanda muwe mnapunyetika ( mnapiga Nyeto ) ili kuwa sawa au kununua 'Malaya' Kimtindo hamtaki matokeo yake mnanyimwa 'Mbunye' na mnaishia kumaliza Hasira zenu kwa Kupiga na Kujeruhi Watoto wa Watu.

Huyo Mwalimu Mkuu apimwe tu Akili!!!
 
kupiga) unless ulikuwa katika struggle ya kuokoa maisha yako.
....nikweli lakini tutajuaje la Wit alikuwa anaandaa kikosi kazi (wasichana watatu) kummaliza mwalimu Hasira(jokes).
===
Uonevu na provocation ili mtu atende kosa havikubaliki (serious)
 
Aisee mimi ndo maana niliachaga ualimu, maana mtu anakudhalilisha kizembe kabisa as if huna haki za msingi.
Zamani nikiwa mwalimu nikiwa mwalimu headmaster alikuwa akinionea sana kila siku ananisingizia kuvaa nguo fupi yaan alitaka mimi niwe navaa vitenge vinavyoburuza chini.

Kha mimi abavyo sipendi manguo marefu nilikuwa najitahidi kuvaa nguo za kati chini ya magoti, siku nyingine ndefu kabisa lakini siku nikiivaa ya hiyo chini ya magoti naandikiwa barua.
Aliendelea kunichukia niajisikia vibaya nikaanza kuchukia ualimu.

Siku moja ndo naingia darasani kufundisha, nae akaingia darasani eti anataka kuona ufundishaji wangu, kha kwa nini anifanyie surprise bila kunipa taarifa?

Moyoni nikajisemea huyu fala nini?. Kaingia kakaa dawati za nyuma. Nikaongea na wanafunzi kidogo nikawapa kazi ya kufanya wasome kitabu fulani chp fulani tutakuja kudiscuss next time. Nikawaambia leo sijisikii vizuri nikatoka nikamuacha darasani. Alijisikia vibaya sana. Alivimba balaa.

Nikaona huu upuuzi nikaomba chuo kusoma fan nyingine nikaacha kazi, am happy nafanya ninachojisikia.
Mh!
 
Kwa hii sura ya witness inaonekana amekula hela za boss wake na kisha kumchanganya kimapenzi na boda boda 😂 na baada ya kuulizwa akajibu fyoko kama kawaida yao wanawake, hali iliyopelekea kipigo cha mbwa koko!
Ukisikia mtanzania mpe muhutasari tu habari atamalizia yeye ndo hii..😂
 
Aisee mimi ndo maana niliachaga ualimu, maana mtu anakudhalilisha kizembe kabisa as if huna haki za msingi.
Zamani nikiwa mwalimu nikiwa mwalimu headmaster alikuwa akinionea sana kila siku ananisingizia kuvaa nguo fupi yaan alitaka mimi niwe navaa vitenge vinavyoburuza chini.

Kha mimi abavyo sipendi manguo marefu nilikuwa najitahidi kuvaa nguo za kati chini ya magoti, siku nyingine ndefu kabisa lakini siku nikiivaa ya hiyo chini ya magoti naandikiwa barua.
Aliendelea kunichukia niajisikia vibaya nikaanza kuchukia ualimu.

Siku moja ndo naingia darasani kufundisha, nae akaingia darasani eti anataka kuona ufundishaji wangu, kha kwa nini anifanyie surprise bila kunipa taarifa?

Moyoni nikajisemea huyu fala nini?. Kaingia kakaa dawati za nyuma. Nikaongea na wanafunzi kidogo nikawapa kazi ya kufanya wasome kitabu fulani chp fulani tutakuja kudiscuss next time. Nikawaambia leo sijisikii vizuri nikatoka nikamuacha darasani. Alijisikia vibaya sana. Alivimba balaa.

Nikaona huu upuuzi nikaomba chuo kusoma fan nyingine nikaacha kazi, am happy nafanya ninachojisikia.
Ungempa mzigo tu😅 maana huo ulegi sio kitoto
 
Aisee mimi ndo maana niliachaga ualimu, maana mtu anakudhalilisha kizembe kabisa as if huna haki za msingi.
Zamani nikiwa mwalimu nikiwa mwalimu headmaster alikuwa akinionea sana kila siku ananisingizia kuvaa nguo fupi yaan alitaka mimi niwe navaa vitenge vinavyoburuza chini.

Kha mimi abavyo sipendi manguo marefu nilikuwa najitahidi kuvaa nguo za kati chini ya magoti, siku nyingine ndefu kabisa lakini siku nikiivaa ya hiyo chini ya magoti naandikiwa barua.
Aliendelea kunichukia niajisikia vibaya nikaanza kuchukia ualimu.

Siku moja ndo naingia darasani kufundisha, nae akaingia darasani eti anataka kuona ufundishaji wangu, kha kwa nini anifanyie surprise bila kunipa taarifa?

Moyoni nikajisemea huyu fala nini?. Kaingia kakaa dawati za nyuma. Nikaongea na wanafunzi kidogo nikawapa kazi ya kufanya wasome kitabu fulani chp fulani tutakuja kudiscuss next time. Nikawaambia leo sijisikii vizuri nikatoka nikamuacha darasani. Alijisikia vibaya sana. Alivimba balaa.

Nikaona huu upuuzi nikaomba chuo kusoma fan nyingine nikaacha kazi, am happy nafanya ninachojisikia.
Uyu mwalimu wako mkuu makalio ya shangazi yake
 
Aulizwe huyo mwl witness wananini kilichojificha ambacho wengine hawakijui, mkuu atoke na kumpiga tu au ni kanyumba kadogo kwa mkuu? Pole yake lakini afuate sheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom