Mwalimu wa Madrasa apandishwa Kizimbani kwa tuhuma za kuwachapa fimbo (Ukatili) wanafunzi wa madrasa

Mwalimu wa Madrasa apandishwa Kizimbani kwa tuhuma za kuwachapa fimbo (Ukatili) wanafunzi wa madrasa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwalimu wa Madrasa, Musa Bashiru Musa (24) ambaye kipande cha picha jongefu (video) kilisambaa katika mitandao ya kijamii kikimuonyesha akiwapiga fimbo za mikononi wanafunzi wake, amepandishwa kizimbani kujibu tuhuma zake.

Screenshot 2025-02-19 133010.png
Musa ambaye ni mkazi wa Mbagala Kiburugwa, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke na kusomewa mashtaka mawili ya kuwafanyia ukatili watoto wa madrasa, kinyume cha sheria.

Mwalimu huyo amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatano, Februari 19, 2025 na kusomewa mashtaka yake na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Rabia Ramadhani akisaidiana na Nicas Kihemba, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Vick Mwaikambo.

 
Binafsi nimeangalia clip hiyo, sijaona kosa lolote. Tanzania kama tumeoitisha sheria ya kutoadhibu watoto shuleni waseme
Isitoshe hapo ni Madrasa ya kidini ambayo ruhusa kuchapa, na ukimwangalia hachapi kwa lengo la kudhuru

Nabii Suleiman anasema
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.

Mithali 22:15
 
Binafsi nimeangalia clip hiyo, sijaona kosa lolote. Tanzania kama tumeoitisha sheria ya kutoadhibu watoto shuleni waseme
Isitoshe hapo ni Madrasa ya kidini ambayo ruhusa kuchapa, na ukimwangalia hachapi kwa lengo la kudhuru

Nabii Suleiman anasema
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.

Mithali 22:15
Fimbo zimefutwa kwa sasa ni vile wengi hawajui ,mimi nishawahi kupigwa vimbo thelathini shuleni enzi hizo ,tena ilikuwa sio peke yangu ni karibia darasa zima kwa kosa la kuandikwa matusi.

Wanawake wanne walizimia walikuwa wana asili ya half cast ila hawa weusi walivumilia...Kwa sasa mambo ya kuchapana ni hatari sana hat sheria za kimataifa hazitaki.
 
Mwalimu wa Madrasa, Musa Bashiru Musa (24) ambaye kipande cha picha jongefu (video) kilisambaa katika mitandao ya kijamii kikimuonyesha akiwapiga fimbo za mikononi wanafunzi wake, amepandishwa kizimbani kujibu tuhuma zake.

Musa ambaye ni mkazi wa Mbagala Kiburugwa, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke na kusomewa mashtaka mawili ya kuwafanyia ukatili watoto wa madrasa, kinyume cha sheria.

Mwalimu huyo amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatano, Februari 19, 2025 na kusomewa mashtaka yake na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Rabia Ramadhani akisaidiana na Nicas Kihemba, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Vick Mwaikambo.

Aah hana huruma kabisa!
 
Binafsi nimeangalia clip hiyo, sijaona kosa lolote. Tanzania kama tumeoitisha sheria ya kutoadhibu watoto shuleni waseme
Isitoshe hapo ni Madrasa ya kidini ambayo ruhusa kuchapa, na ukimwangalia hachapi kwa lengo la kudhuru

Nabii Suleiman anasema
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.

Mithali 22:15
 
Sijaona kosa la huyo mwalimu. Waliompeleka mahakamani ni maadui wa maadili kwa watoto. Ila Waalimu kwa sasa wangeachana tu na ishu za kuchapa watoto kwa sababu jamii imeshakubali watoto wasiwe na maadili. Kila mtu abebe msalaba wake.
 
Nasemea sheria za Tz. Hakuna fimbo zimefutwa? Bunge gani
Fimbo zimefutwa kwa sasa ni vile wengi hawajui ,mimi nishawahi kupigwa vimbo thelathini shuleni enzi hizo ,tena ilikuwa sio peke yangu ni karibia darasa zima kwa kosa la kuandikwa matusi.

Wanawake wanne walizimia walikuwa wana asili ya half cast ila hawa weusi walivumilia...Kwa sasa mambo ya kuchapana ni hatari sana hat sheria za kimataifa hazitaki.
 
Sijaona kosa la huyo mwalimu. Waliompeleka mahakamani ni maadui wa maadili kwa watoto. Ila Waalimu kwa sasa wangeachana tu na ishu za kuchapa watoto kwa sababu jamii imeshakubali watoto wasiwe na maadili. Kila mtu abebe msalaba wake.
Tunatengeneza kizazi kisichi na maadiki eti kwa kuwa mataifa ya kifirauni yamepitisha sheria. Huenda hata ushoga kama nchi tumeridhia na tumekaa kimya
 
Tunatengeneza kizazi kisichi na maadiki eti kwa kuwa mataifa ya kifirauni yamepitisha sheria. Huenda hata ushoga kama nchi tumeridhia na tumekaa kimya
Inasikitisha sana. Huko Marekani mitoto inaua wenzao kwa silaha za wazazi wao chanzo kikiwa ni ukosefu wa maadili na sheria za hovyo. Waafrika tunaacha maadili yetu mazuri na kufuata za magharibi zilizofeli.
 
Back
Top Bottom