Mwalimu wa Madrasa, Musa Bashiru Musa (24) ambaye kipande cha picha jongefu (video) kilisambaa katika mitandao ya kijamii kikimuonyesha akiwapiga fimbo za mikononi wanafunzi wake, amepandishwa kizimbani kujibu tuhuma zake.
Musa ambaye ni mkazi wa Mbagala Kiburugwa, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke na kusomewa mashtaka mawili ya kuwafanyia ukatili watoto wa madrasa, kinyume cha sheria.
Mwalimu huyo amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatano, Februari 19, 2025 na kusomewa mashtaka yake na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Rabia Ramadhani akisaidiana na Nicas Kihemba, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Vick Mwaikambo.
Binafsi nimeangalia clip hiyo, sijaona kosa lolote. Tanzania kama tumeoitisha sheria ya kutoadhibu watoto shuleni waseme
Isitoshe hapo ni Madrasa ya kidini ambayo ruhusa kuchapa, na ukimwangalia hachapi kwa lengo la kudhuru
Nabii Suleiman anasema
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.
Binafsi nimeangalia clip hiyo, sijaona kosa lolote. Tanzania kama tumeoitisha sheria ya kutoadhibu watoto shuleni waseme
Isitoshe hapo ni Madrasa ya kidini ambayo ruhusa kuchapa, na ukimwangalia hachapi kwa lengo la kudhuru
Nabii Suleiman anasema
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.
Fimbo zimefutwa kwa sasa ni vile wengi hawajui ,mimi nishawahi kupigwa vimbo thelathini shuleni enzi hizo ,tena ilikuwa sio peke yangu ni karibia darasa zima kwa kosa la kuandikwa matusi.
Wanawake wanne walizimia walikuwa wana asili ya half cast ila hawa weusi walivumilia...Kwa sasa mambo ya kuchapana ni hatari sana hat sheria za kimataifa hazitaki.
Mwalimu wa Madrasa, Musa Bashiru Musa (24) ambaye kipande cha picha jongefu (video) kilisambaa katika mitandao ya kijamii kikimuonyesha akiwapiga fimbo za mikononi wanafunzi wake, amepandishwa kizimbani kujibu tuhuma zake.
Musa ambaye ni mkazi wa Mbagala Kiburugwa, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke na kusomewa mashtaka mawili ya kuwafanyia ukatili watoto wa madrasa, kinyume cha sheria.
Mwalimu huyo amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatano, Februari 19, 2025 na kusomewa mashtaka yake na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Rabia Ramadhani akisaidiana na Nicas Kihemba, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Vick Mwaikambo.
Binafsi nimeangalia clip hiyo, sijaona kosa lolote. Tanzania kama tumeoitisha sheria ya kutoadhibu watoto shuleni waseme
Isitoshe hapo ni Madrasa ya kidini ambayo ruhusa kuchapa, na ukimwangalia hachapi kwa lengo la kudhuru
Nabii Suleiman anasema
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.
Sijaona kosa la huyo mwalimu. Waliompeleka mahakamani ni maadui wa maadili kwa watoto. Ila Waalimu kwa sasa wangeachana tu na ishu za kuchapa watoto kwa sababu jamii imeshakubali watoto wasiwe na maadili. Kila mtu abebe msalaba wake.
Fimbo zimefutwa kwa sasa ni vile wengi hawajui ,mimi nishawahi kupigwa vimbo thelathini shuleni enzi hizo ,tena ilikuwa sio peke yangu ni karibia darasa zima kwa kosa la kuandikwa matusi.
Wanawake wanne walizimia walikuwa wana asili ya half cast ila hawa weusi walivumilia...Kwa sasa mambo ya kuchapana ni hatari sana hat sheria za kimataifa hazitaki.
Sijaona kosa la huyo mwalimu. Waliompeleka mahakamani ni maadui wa maadili kwa watoto. Ila Waalimu kwa sasa wangeachana tu na ishu za kuchapa watoto kwa sababu jamii imeshakubali watoto wasiwe na maadili. Kila mtu abebe msalaba wake.
Inasikitisha sana. Huko Marekani mitoto inaua wenzao kwa silaha za wazazi wao chanzo kikiwa ni ukosefu wa maadili na sheria za hovyo. Waafrika tunaacha maadili yetu mazuri na kufuata za magharibi zilizofeli.