Mnafiki! Unapinga adhabu ya viboko muda huo huo unataka kijana akafungwe unachimba chimo hili ili ufukie shimo lileMwafrika mbele ya imani za kigeni amekuwa mtu wa hovyo sana. Imani gani inaambatana na ukatili wa namna hii kwa watoto wadogo. Huyo usitazi anatakiwa kufugwa ili iwe fundisho kwa wengine ambao hata saikolojia ya kukaa na watoto hawaijuwi zaidi kutumia Jazba. Wazazi pia wanaopeleka watoto maeneo hayo waongeze umakani matukio ya aina hii ili yadhibitiwe.
Binadamu anafundishika,ingawa sio wote, na sheria zimetungwa kwa wale ambao wanavunja sheriaKama watu ni rahisi kufundishika adhabu za kunyonga na viboko kwenye sheria zetu zimetungiwa nani?
Embu taja adhabu mbadala ambazo unaweza ukatoa kwa mtoto mtukutuBinadamu anafundishika,ingawa sio wote, na sheria zimetungwa kwa wale ambao wanavunja sheria
Mimi sijawahi kuwa na kosa lolote la kupelekwa mahakamani au hata polisi
Lakini hainifanyi kuwa siwezi kutenda kosa
Fimbo kuchapwa kila siku je huyo mtoto anabadilika? na je kama habadiliki utaendelea kupiga?
Nafikiri kuna wengine hawajali mafundisho bila fimbo
Ukipata mda angalia dog whisperer au dog behaving very bad
Utaona hao watu wanavyowabadili tabia za mbwa wakati wenye mbwa wameshindwa baada ya miaka
Ni mfano tu huo
Ila kwa watoto watukutu pia anaitwa Annie The Nanny akiwasaidia wazazi
Lakini pia kila mmoja anaona yuko sawa kwa anachofanya
Mtoto anadokoa nyama unamchoma mikono je una akili hapo?
Mkuu nimeona watoto watukutu wakipigwa sana lakini hawabadiliki, badala yake wanakuwa NundaEmbu taja adhabu mbadala ambazo unaweza ukatoa kwa mtoto mtukutu
Ulivyohesabu hapo umeona ni vinne?Viboko vinne kwa Mtoto wa miaka 5 kwenda juu ni sahihi.
Hebu inukuuu tuisome hapaKwa hiyo huoni kama kumwadhibu mtoto hivyo ni kuvunja sheria?
Ameumia wapi?Sasa unashabikia nini mtoto kuumizwa katika sehemu ya imani?
Nadhani ukiwa najua kutamka,kuyasoma na kuandika Yale maandishi ndio unakua umehitimu vzrKuna ulazima gani wa kutumia lugha ile si watumie tu kiswahili.
Mabikra 70 unawaona wale pale laivu 😂Nadhani ukiwa najua kutamka,kuyasoma na kuandika Yale maandishi ndio unakua umehitimu vzr
HahahahaMabikra 70 unawaona wale pale laivu 😂
Tumia simu yako kujitafutia maarifa. Unanituma mimi ilhali una bando?Hebu inukuuu tuisome hapa
Huoni anavyolia? Ama ni kilio cha utamu hiko?Ameumia wapi?
Hadi sasa hakuna sheria hiyoiliyotungwa na bunge la TzTumia simu yako kujitafutia maarifa. Unanituma mimi ilhali una bando?
Kwahiyo kulia ndio kuumia, kuna watu wanalia wakati wa sex . Kwahiyo ashtakiwe anayemfanya alieHuoni anavyolia? Ama ni kilio cha utamu hiko?
Kwahiyo akipigwa shuleni ni sawa?Shule apigwe na madrasa napo apigwe daah inasikitisha sana
Katika uislam hakuna elimu dunia wala elimu kuzimu, pili kwa hii tz kuna maprofesa wangapi ni waislam na wanaijua dini vizuri? Kuna shule ngapi za kiislam? Mnakaa mnazusha vitu kisha chuki tu.Akiwa Mwislamu ndiyo inakuwaje?
Ninyi mambo yenu ya kukataa hicho mnachokiita elimu dunia yanawafanya mwonekane nanii
Kufa alikufa yesu je yeye alikuwa na kosa gani?Ndio maaana alikufa mkuu
Binafsi nimesoma madrsa na nimechapwa na sijawahi lalamika nyumbani kwa mzazi wangu, adhabu zitoke lakini kwa kiasi zinasaidia kuchangamsha mtoto, kwenye hiyo video ustaadh kazidisha adhabu.Katili mwingine huyu hapa. Kwanza unaelewa neno mtoto? Yaani watoto ndiyo mmeona ni wa kuchapwa tu? Nyinyi ndiyo huwafanyia watoto ukatili.
Mtoto kama kafanya makosa, ongea naye, fimbo haijawahi kuwa suluhisho, ndiyo maana tuna watoto watukutu, watoto wa mitaani waliokimbia vipigo majumbani na mateso. Hata hivyo mtoto wangu kafanya mafundisho, hakuwahi nilalamikia kuchwapwa.
Mimi ni muislam na nimeona hiyo video, ustaadh katoa adhabu kubwa kulinganisha na umri wa watoto, hao wa kike ilibidi fimbo moja tu.Mimi sitaki kushutumu ni watoto wa dini Gani hawana maadili Kwakuwa sijafanya utafiti wa Hilo na kujua sababu ni zipi ?
Ila Kwa mtazamo wangu kuhusu hiyo clip sijaona kosa la ustadhi kutoa adhabu inategemea na kosa walilofanya BTW sidhani kama wazazi walikuwa hawajui Hilo au watakuwa wao ndo wamewashitaki
Cha mwisho Mimi ni mkristo tena KKKT usijefikiri kutakuwa na ligi ya kidini