The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Na bila fimbo huwezi kaririNi tofauti na masoma ya sunday school ambayo yanafundishwa kwa lugha mama.
Watu hawataki kujifunza na kuelewa.Mtoto anayeweza kusoma kuraan na kuikariri yote huyo hawezi kufeli darasani.Hiyo ipo wazi maana ili uweze kukariri hicho kitabu walau nusu yake lazima uwe na uwezo mkubwa wa kiakili( IQ)
Acheni mbwembwe unataka kusema huyo ustadhi ajui anachokifanya tukupe wewe fimbo uchape uone kama ni rahisi.Nguvu inayotumika kupiga kubwa na fimbo size kubwa na panapopigwa changamoto
Swala sio idadi
Mbona serikali yenyewe imeruhusu viboko mashuleni?Nchi haiendeshwi kwa taratibu za dini yoyote.
Na hakuna dini yenye kibali cha kudhuru mtu kwa kigezo cha maandishi yake.
Aadhibiwe ili awe fundisho kwa wengine.
Wazazi wenyewe hata kuwalipa hao walimu ni mtihani walimu wengi wanawafundisha watoto dini kwa kujitolea tuNashangaa wanapowapa walimu maamuzi makubwa dhidi ya watoto wao.
Kwa mfano hao watoto wakiumia, mzazi atafurahi kuwa wamepata thawabu?
Hao ni watoto mzee sio watu wazima.50 kwa 50 iko wapi hapo?
Kwa hiyo mtoto achapwe shuleni, achapwe kwao na achapwe madrasa?Mbona serikali yenyewe imeruhusu viboko mashuleni?
Kwahiyo kaua? Ndicho unachosemaNipe mwanao nimshushie mvua za bakora kama huyo jamaa hapo kwenye video, Tuone kama hatakufa.
Kwa hiyo wanajilipa kwa kuwaumiza watoto?Wazazi wenyewe hata kuwalipa hao walimu ni mtihani walimu wengi wanawafundisha watoto dini kwa kujitolea tu
Ndio watolee stress zao za maisha kwa watoto wa watu?Wazazi wenyewe hata kuwalipa hao walimu ni mtihani walimu wengi wanawafundisha watoto dini kwa kujitolea tu
Kama hamtaki watoto wenu wagiswe muwe mnakaa nao nyumbani mnawafundisha , haiwezekani mtoto afanye makosa aangaliwe tu.Mnaomtetea huyo mwalimu wa madrasa, je kama ndiyo tabia yake huwachapa kila mara? Watu wamemchoka ndiyo sababu wakamrekodi mtajuaje?
Kijana wa miaka 24, ila hana huruma na mtoto mdogo wa kike analia, anaendelea kumchapa na hapo mwishoni kamchapa mwilini. Huo ni ukatili, mtoto/watoto wakikosea njia si kupiga ongea nao na kuwakataza Mabaya.
Hivi mtoto mmoja angekuwa mgonjwa na alipochapwa hapo akanyooka mngesema hayo? Tujaribu kuongea na watoto zaidi ya kuwachapa. Mtoto wangu sijawahi mchapa, ila anasifiwa kila anapokuwepo kuwa ana nidhamu sana analelewa vizuri kinidhamu. Nimemuweka karibu, kirafiki na kuongea naye zaidi.
Utoro wa nini?Hili ni tatizo la utumwa wa kifikra. Hatuwezi kuwa na watoro wasioweza kuadhibiwa.
Copral punishment ni lazima. Na kuchapa sio kuua mtoto
Nabii Suleimani a.w anasema
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
Mithali 23:13
Hajaua ila hicho kipigo kinaweza kupelekea kifo.Kwahiyo kaua? Ndicho unachosema
Wanazo wanafanya part-time tu tena bure,but huyo mwalimu kwa kweli amekosea thus watoto wengine uchukia madrasaNdio watolee stress zao za maisha kwa watoto wa watu?
Hawana shughuli za kufanya zakuwaingizia kipato?
Alhamudullilah kwa matusi yako. Innshallah . Lakini Nabii Suleiman a.w. ndivyo alisema. Wewe pinga. Uliwe kinyeo. Maana unaona sawaHebu toa ujuha wako hapa. Huyo sulemani unamjua?
Mwalim wa ilimu
Wanalipwa sifa kuitwa ma Ustaadhi mitaani wanajisikia raha sana kuliko kulipwaWazazi wenyewe hata kuwalipa hao walimu ni mtihani walimu wengi wanawafundisha watoto dini kwa kujitolea tu
Serikali imeweka sheria mtoto akikosea ahadhibiwe bila kujali yuko sehemu gani.Kwa hiyo mtoto achapwe shuleni, achapwe kwao na achapwe madrasa?
Wewe umekuzwa hivyo?
Ndio maaana alikufa mkuuKuna afande mmoja pale Makongo sec alikuwa anaitwa Afande Miraji (RIP) alinitandika fimbo kama anaua nyoka kiuno kilikaa wiki hakijaunga.vyema.
Ndio maana mauliza zipo sheria za nchi yetu zilizovunjwa? Na zilipitishwa na bunge lipi.Nchi haiendeshwi kwa taratibu za dini yoyote.
Na hakuna dini yenye kibali cha kudhuru mtu kwa kigezo cha maandishi yake.
Aadhibiwe ili awe fundisho kwa wengine.
Kama watoto wenu ni wa na hamtaki waguswe wafundisheni wenyewe.Ndio watolee stress zao za maisha kwa watoto wa watu?
Hawana shughuli za kufanya zakuwaingizia kipato?