Mwalimu wangu Master Herbalist Dr. Sebi akieleza namna ya ugonjwa wa UKIMWI unasababishwa na mucus au “ute”

Mwalimu wangu Master Herbalist Dr. Sebi akieleza namna ya ugonjwa wa UKIMWI unasababishwa na mucus au “ute”

Naomba kueleweshwa kuhusu hizi seamoss tunauziwa kwa Sasa?? Je Ni salama kwa kiwango gani??

Asante Herbalist Dr MziziMkavu

Dr Sebi Explains REAL Sea Moss.​

Sea Moss orignall inatoka nchini Jamaika. Wewe kwani unanunuwa Sea Moss kutoka wapi? hapo kwetu unaweza kutumia Mwani pia ni nzuri zaidi kama Sea moss


MWANI  AKA SEA MOSS.jpg

MWANI AKA SEA MOSS YA TANZANIA HIYO.
 
Mkojo tena..!!?
Hii kali Kiongozi..!
Mkojo hauwezi kuniletea matatizo mengine kweli mkuu..?
Hiyo ya kunywa mkojo mimi hapana. Mwili ukishatoa kitu basi kimeshakuwa taka mwili.

Sasa kunywa tena mkojo ambao ulitolewa na mwili kama taka mwili ni wazi unaupa shida ya kuchataka tena taka badala ya virutubisho. Mimi nadhani mtu akifanya hivyo apate sasa vinywaji na vyakula vinavyorutubisha na kuimarisha mwili sio kuua.
 
Hakuna Njia ya kuondoa Asidi ndani ya mlonge haufai kutumiwa kama dawa. Usile Karoti,Mchicha, mtindi, maziwa, kuku wa kizungu pamoja na mayai yake, usile nyama ya ng'ombe,nyama ya mbuzi ,nyama ya kondoo,Ugali wa Dona. Na vilivyobakia kula kama kawaida
Mmmmmmhmn nadhani hapa kuna namna ya kubalance ila sio kuacha kabisa. Kimsingi wamasai wangekuwa hawana maisha marefu na chakula chao ni nyama na damu na maziwa plus miti shamba.

Sasa nadhani kuna namna ya kubalance ila sio kuacha.

Mfano mtindi ambao umeandaliwa kwa namna ya asili achana na hii mitindi ya kuchachushwa. Naongelea ile mitindi ambayo unatengenezwa naturally bila kuwekwa chochote zaidi ya natural bacterial kufanya yao.

Ule mtindi unafaida sana mwilini eneo la digestion, na kuongeza kiwango cha bacteria wazuri mwilini. Lakini kwa mwanamke ndio unafaida nyingi zaidi.
 
Ndio nilikuwa sijamsoma Mwalim wangu RIP DR.SEBI. nilikuwa mjinga wa kuamini kitu pasipo na kukifanyia uchunguzi.
Dr Sebi on Moringa Mlonge sio dawa ya kutibu maradhi kwani Mlonge una asidi nyingi hauwezi kutibu maradhi yoyote yale.


Kwahiyo sasa hivi umefanya utafiti au ni uleule ujinga wa kumuamini mtu?
 
Mmmh...
Ila kuna uzi hapa jukwaani unaelezea ni namna gani mlonge unaweza kutibu maradhi mbalimbali,mmoja wa wachangiaji katika huo uzi ni wewe mwenyewe, mbona umebadili mawazo yako ghafla..?
Au kipindi hicho ulikua bado haujamsoma Dr Sebi..?
Hawa watu kuna wakati ukiwasikiliza sana wanaweza kukwambia usipumue kwani kupumua kunaigiza hewa chafu mwilini.
 
Aisee..!
Basi watu tunapotoshwa sana Kiongozi..!
Familia yetu iliacha kutumia unga wa sembe muda mrefu sana na kuanza kutumia unga wa dona,hiyo ni baada ya kusikia kuwa unga wa dona ndio mzuri kiafya..!
Nimetafuna sana makaroti baada ya kuambiwa kuwa yanasaidia kutibu macho (me ni myopic)...
Nimetafuna sana michicha..!
Nimekula sana mlonge..!
Lakini kumbe hivyo vyote ni hatari kwa afya ya binadamu..!!!
MziziMkavu unga wa dona una shida gani aisee...
Maana nikiwaelekeza ndugu zangu tuache kuutumia inabidi niwe na maelezo yaliyonyooka..!
Huyu mleta uzi nae hajielewi. Dona ni unga ambao unapendekezwa na sio hatari. Dona ni unga ambao haujakobolewa nafaka imesagwa straight. Sasa yeye anasema usile vyakula vilivyokobolewa ndipo vikasagwa.

Kwa kifupi mtu anaposema usile vitu vya kukobolewa ndipo vikasagwa anamaanisha usile vitu refined. Mfano mikate kama hii tunayonunua madukani ambayo slices zake ni nyeupe kumaanisha unga wake ulipatikana baada ya kukoboa nafaka ya ngano kisha ikasagwa, the same hata kwenye unga wa sembe, huwa unakobolewa na ndipo unasagwa, toa tu mchele maana ni lazima pumba zitolewe kwanza ndipo tupate mchele.

Refined foods si kwamba hazina faida mwilini, zinafaida ila kutokana na kiwango tunachokula kuzidi ndipo madhara yake hutokea. Hapa kuhudu madhara ya refined foods kuna maelezo kidogo ili kukuelimisha madhara na faida zake na namna sahihi ya kitumia hizi refined foods.
 
Hiyo ya kunywa mkojo mimi hapana. Mwili ukishatoa kitu basi kimeshakuwa taka mwili.

Sasa kunywa tena mkojo ambao ulitolewa na mwili kama taka mwili ni wazi unaupa shida ya kuchataka tena taka badala ya virutubisho. Mimi nadhani mtu akifanya hivyo apate sasa vinywaji na vyakula vinavyorutubisha na kuimarisha mwili sio kuua.
Nasikia hata ukigongwa na nyoka dawa yake nikunywa mkojo wa mtu mwingine. Hapana chezea Afrika na tiba mbadala
 
Kwani ukifanya simple chemical reaction ya acid+ base---- salt +water
Si tayari naharibu acid kwenye vyakula hivyo na kula chakula kikiwa salama?[emoji16][emoji16]
Coz swala la kuacha mtindi litaluwa ni gum
Unajua wanasema mtego upo kwenye namna watu wanatafuta maarifa na kuyatumia. Huyu anaetoa elimu yupo sahihi kwa upande m'moja ila statement ya kusema usitumie ni statement ambayo inatumika vibaya sana.

Kuna ule usemi kuwa kila kitu hapa Duniani kina hasara na faida. Ukikitumia vibaya kinakuletea madhara ukikitumia vema kinafaida.

Bangi inatumika kama antidepressants na matumizi mengine kwenye medical field ila bangi hiyo hiyo si nzuri kuizoea kwa matumizi ya starehe za ujana.

Gari ni chombo cha usafiri chenye faida kede kede ila matumizi ambayo si sahihi ya gari yanaweza kusababishia madhara wewe na wengine na kupelekea hata kifo.

So hata hizi vyakula watu wengi hawana elimu ya kutosha kujua namna ya mwili unahitaji nini kwa wakati upi wanatumia kwa kiasi cha kupitiliza hadi inawaletea madhara kimwili na kuwapa shida za afya.

Mfano Beer unatakiwa utumie kwa kiwango kidogo per serving. Yaani umeenda zako pub unakunywa chupa zako 4 au tano. Sasa mtu anaenda anataka anywe kreti nzima pekee yake. Huo mwili unapata virutubisho gani hapo sasa kwa hiyo excessive drinking?

Au mtu mwili unaona kabisa umekuwa kibonge ila bado unakula burgers, chips yai, beer, vyakula vya kunenepesha, halafu unategemea mwili uwe salama?

Watanzania wengi ukiwaambia kula vyakula kwa style ya mzunguko yaani balanced diet wanaona kama unawapa story za kusadikika. Wakianza kuumwa magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari, pressure, kiharusi, matatizo ya macho, Gauti, etc utaona wanavyohangaika kula miti shamba na kujifanya wanajua sasa kufata utaratibu wa lishe bora Pumbavu kabisa.

Ndio maana kuna msemo unasema, "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa". Leo humu mitandaoni kuna kila aina ya elimu juu ya afya ila nenda jioni pita humo kwenye viwanja vya starehe tazama watu na ulaji wanaofanya, nenda kaulize wanaouza mafaka wakwambie watu wanasema maneno gani juu ya unga wa dona, utasikia wanasema hauna ladha, jambo ambalo si kweli, kati ya dona na unga wa sembe ni upi ambao hauna ladha?

So wanasema kiburi cha mwanadamu ndicho kitakachomuangamiza ila sio MUNGU wala shetani. Wenye kusikia watasikia na kujirekebisha wale viburi ndio watateketea.

LET THE GAME BEGIN.
 
Back
Top Bottom