Mwalimu wangu Master Herbalist Dr. Sebi akieleza namna ya ugonjwa wa UKIMWI unasababishwa na mucus au “ute”

Mwalimu wangu Master Herbalist Dr. Sebi akieleza namna ya ugonjwa wa UKIMWI unasababishwa na mucus au “ute”

Mmmmmmhmn nadhani hapa kuna namna ya kubalance ila sio kuacha kabisa. Kimsingi wamasai wangekuwa hawana maisha marefu na chakula chao ni nyama na damu na maziwa plus miti shamba.

Sasa nadhani kuna namna ya kubalance ila sio kuacha.

Mfano mtindi ambao umeandaliwa kwa namna ya asili achana na hii mitindi ya kuchachushwa. Naongelea ile mitindi ambayo unatengenezwa naturally bila kuwekwa chochote zaidi ya natural bacterial kufanya yao.

Ule mtindi unafaida sana mwilini eneo la digestion, na kuongeza kiwango cha bacteria wazuri mwilini. Lakini kwa mwanamke ndio unafaida nyingi zaidi.
Usifananishe Ng'ombe anayefugwa na Mmasai na Ng'ombe tunaokula sisi huku watu wa mijini kama wapo sawa Mkuu. Ng'ombe anaye kula Mmasai anakula nyasi orignall tofauti na ng'ombe tunaye kula sisi watu wa mjini wanakula nyasi aka majani yaliyotengenezwa na madawa ya kizungu ndio maana ukaona maradhi yapo mengi siku hizi.kila chakula tunachokula sisi watu wa mjini tunakula vyakula vyenye madawa ya suımu ya Maviwandani, matokeo yake Wanaume wengi hatuna nguvu za kiume maradhi yamekuwa siku hizi ni mengi. Kwa sisiWatu tunaoishi Mijini Tofauti na watu wanaoishi vijijini wanakula vyakula vya asili. Na hawapati maradhi ovyo ovyo.
 
Kwahiyo sasa hivi umefanya utafiti au ni uleule ujinga wa kumuamini mtu?
Nimeshafanya utafiti wa kumpa mtu mgonjwa wa ukimwi hakupona Huo Mlonge hautibu maradhi 300 kama wanavyosema watu wengine ni maneno ya uongo mtupu.Afadhali Mwarubaini ninaweza kukubaliana nao unatibu maradhi mengi kuliko Mti wa Mronge aka Mlonge moringa hautibu hayo maradhi waliyoyasema watu.
 
Nimeshafanya utafiti wa kumpa mtu mgonjwa wa ukimwi hakupona Huo Mlonge hautibu maradhi 300 kama wanavyosema watu wengine ni maneno ya uongo mtupu.Afadhali Mwarubaini ninaweza kukubaliana nao unatibu maradhi mengi kuliko Mti wa Mronge aka Mlonge moringa hautibu hayo maradhi waliyoyasema watu.
Ooooh!! Kwahiyo tafiti zako unazifanya direct kwa binadamu!! What if ikaleta madhara?
 
Ooooh!! Kwahiyo tafiti zako unazifanya direct kwa binadamu!! What if ikaleta madhara?
Hakuna madhara dawa za mitishamba kwani sio vidonge madhara yake ni madogo sana dawa za mitishamba kuliko madhara ya vidonge.
 
Hakuna madhara dawa za mitishamba kwani sio vidonge madhara yake ni madogo sana dawa za mitishamba kuliko madhara ya vidonge.
Mara "hakuna madhara" mara "madhara ni kidogo" tushike lipi?
Hayo "madhara kidogo" huwa unayaweka wazi kwa wagonjwa wako?
 
RIP Dr.Sebi anasema kuwa Mmea wa Moringa Aka Mlonge haufai kimatibabu kwa sababu Mlonge asili yake ni asidi na asidi ndio chanzo cha maradhi yote.
Hakusema Moringa haifai, ila inafaa kutumiwa yenyewe peke yake bila kuchanganywa na kitu kingine, hasa acidic foods kama karoti, spinach na maziwa. Moringa is a powerful wonder on its own.
 
Jamaa alikua anaenda kuheal the world wakamsepesha na yule msanii wa marekani nipsey hussle hata hakumaliza documentary ya Dr.sebi akasepeshwa,me ndio mana nasema haya magonjwa mengi yakutengeneza kuuza madawa yao!
 
Dr Sebi Tells How He Cures A.I.D.S
THERE IS ONLY ONE DISEASE MUCUS.......


WHERE MUCUS IS THE HUMMAN BODY?


According to Dr. Sebi, there exist only one disease which is mucus. He contended mucus in skin, blood and lymphatic system and membranes causes many afflictions.

DR.SEBI ADVICE IF YOU WANT CURE REMOVE THIS:

Dr. Sebi warned “remove from your diet lactose, uric acid, carbonic acid, milk, starches and meat.”

He pointed out any patient who gets the above eliminated form his system begins to recover in 24 hours and by 2 weeks will be fully recovered.




Dr. Sebi speaks on there being only one disease




''THE IS ONLY ONE DISEASE MUCUS'' DR.SEBI

All manifestation of disease finds its genesis where and where the mucus membrane
has been compromises for example,if there is excess mucus in the broanchits tubes
the disease is bronchitis;if it is in the lungs the disease is pneumonia; in the pancreatic duct
it is diabetic;in the joints ,arthritis. More over mucus in the retina of the eye will cause
blindness;if it is found around the thyroid gland , cancer of the thyroid is the result.Basically,
disease will crise in the body wherever there's an accumulation of Mucus.

''MUCUS'' AKA UTE-UTE WA MAKAMASI NDIO CHANZO KIKUBWA CHA MARADHI YOTE MWILINI.UKIZIDI HUO UTEUTE MWILINI UNAPATWA NA MARADHI NA HUO UTE UTE WA MAKAMASI UNAZIDI KWA KULA VYAKULA VYA ASIDI TUJIHADHARI KWA KULA VYAKULA VYENYE ASIDI NYINGI MWILINI.

ALIYEGUNDUA DAWA YA UKIMWI: DOCTOR SEBI alichofanyiwa na ulimwengu unalia.



Dr Sebi:
Mucus is the cause of all disease.
This was the question posed to me in court, that why were we making these claims and why were we so successful and what was going on is that disease was never identified to us. If it was identified the question would not be asked now and then we all, all of us that are sick would be enjoying health.

Well, disease is the accumulation of mucus, breaking down the mucus membrane and that mucus covering groups of cells in your body, like for instance we have the mucus membrane in the body to protect us from the onslaught of bacteria as they are called, as they are called but this mucus membrane is for protection but now we eat acid foods and the acid foods break down the mucus membrane and thus cause it to flow with the blood covering other groups of cells now, cells that belongs to organs, depriving them of oxygen.
If the mucus goes to your nostrils they call it sinusitis, if the mucus goes to your bronchial tubes is bronchitis, if the mucus goes to the lungs is pneumonia.

They didn’t make any claims, they didn’t do anything, so naturally if one out of a flock of people that has not shown anything or stood up for their right if they had accomplished something. Well he was just part of the pack, and I wasn’t in disagreement with the attorney general because he did his job but it was his mistake by assuming that I was a part of the pack. I am not part of any pack, never has been, never could be


Download
720

AFYA NJEMA NI KITU MUHIMU SANA

Kuna mambo ninajifunza kulingana na mwenendo kwenye uzi huu:

1: Kuwepo watu wenye uelewa na kuutumia uelewa kwa kuaminisha zaidi ya uwezo wao.
Binadamu mara nyingi tunapenda kuonyesha uwezo tulionao, ila mara nyingi tunasahau kuwa na kiasi na kukubali pale uwezo wetu unapoishia. Hivyo wakati mwingine tunafikia kutoa taarifa ambazo haziwasaidii sana wenzetu bali kuwaweka kwenye mtanzuko zaidi.

Tutumie vyema maarifa tuliyonayo kwa umakini na kuwa na kiasi na ukweli ili kujenga afya njema ya kizazi chetu hiki na kijacho.

2: Kuwepo watu wasioelewa na wanafuata kila anachokisema mwenye uelewa.
Ni vyema kama ilivyo hapo juu, kuhakiki na kupata taarifa sahihi kabla ya kuanza utekelezaji wa chochote utakachokipata kwenye mtandao. Kwani wanaokitoa kwenye mtandao wanaweza kuwa na lengo hasi au chanya.

Hivyo, jihadhali ili usijikute kwenye mtanzuko zaidi pale unapotekeleza usiyokuwa na uhakika nao.

3: Watu kutokufahamu jinsi ya kupata taaarifa sahihi kila apatapo ujumbe juu ya chochote anachokipata kwenye mifumo ya habari.

Ni vyema kujiibidisha kutafuta taarifa sahihi kuhusu chochote unachokutana nacho. Hii inaweza kuganyika kwa wale ambao unaamini watakuwa na taariga sahihi na wenye nia njema.

4: Watu wengi kuwa kwenye mtanzuko wa uimara wa afya zao na kuhitaji majibu ya mkato.

Hii imepelekea watu kutimiza lolote linalopatikana kwenye mfumo wa habari na matokeo yake kuumia au kujijeruhi baadaye. Hivyo kuendelea kutangatanga leo, kesho na keshokutwa juu ya nini hasa akifanye kwaajili ya uzima wa afya yake.

5: Hakuna unachokihitaji bila mipaka

Kuna viinilishe vya mwili unahitaji kwaajili ya shughuli zako za mwili za kila siku na kujijenga. Hakuna ambacho hakihitaji kiasi, hivyo ni vyema kuzingatia kiasi kwa kuwaona wataalamu wa afya husika ili kukupa maelezo sahihi.

6: Matatizo ya mwili yana misingi tofauti

Ni vyema kuelewa kuwa msingi wa matatizo ya mwili ni:

A: Kukosa vitendea kazi/viinirishe
Hapa ni vyema kujua vyanzo sahihi cha viinirishe na kiasi cha kuchukua na kwa mwenendo upi.

B: Kuwepo na viinirishe zaidi
Jibu sahihi ni kujua ni kiaai gani cha viinirishe unatakiwa kuchukua na kwa mwenendo upi.

C: Madhara ya viambata vya viinirishe.
Si kila kilichoko kwenye mimea au wanyama tunakihitaji kwa kiasi kilichomo humo au mjumuisho wake, hivyo kuna ambavyo havihitajiki kuchukuliwa ndani ya viinirishe huaika. Hapa ndo kwa Afrika tumefeli kwa kutokuwekeza/kuamua kuwekeza kwenye sayansi ya mimea na tiba za kiafrika ili kutambua kinachohitajika, kisichohitajika, ufanyaji kazi wa kinachohitajika, kwa kiasi gani na kwa mwenendo upi.

Hapa maamuzi yanahitaji utayari, utashi mwema na resources kuwekwa.

D: Mabadiliko ya mwili kulingana na mazingira yanaouzunguka mwili, tunavyovifanya na tunavyokula.
Mwili huweza kubadilika mwenendi wake kutokana na jinsi yunavyohusiana na vile binabyotuzunguka na vinavyoingia ndani mwetu.

E: Maambukizi toka nje au ndani ya mwili yanayohusisha viumbe wengine.
Kuna matatizo ambayo msingi wake ni kama hapo juu. Kulingana na aina ya maambukizi mwili huweza kuhimili au kutokuhimili kulingana na uwezo wa kinga ya mwili na aina ya maambukizi.

F: Matatizo yanayotokana na fikra zetu
Kuna wakati tatizo la mtu ni kutokana na mwingiliano wa mazingira pamoja na utendaji wa ubongo. Baada ya hapo mwili mzima huweza kuitikia tatizo kwa hasi au chanya.

G: Kuna kuanza kwa tatizo hapo juu A mpaka F kwa kujitegemea na baadaye kuingiza mchanganyiko wa yote hapo juu.
Hivyo, kumkuta mtu ana mchanganyiko wa mambo mengi sana kuanzia A mpaka F.

Ili kutoa tiba mwagaka kwa kiumbe (myama au mmea)/tiba sahihi, ni vyema kuyafahamu fika hayo hapo juu kama baseline/mwongizo na uweze kujitahidi kuyachanganua unapokutana na mgonjwa.

Hivyo, tuliojaliwa kufumbuliwa kwenye ulimwengu wa tiba ni vyema kuzingatia hayo hapo juu wakati tunatoa huduma zetu. Tusisahau kuwa sisi bado ni binadamu, tuna kiasi na mipaka na wenzetu wanaimani nasi basi tusiitumue imani hiyo kwetu vibaya.

Kwa mtindo huo, dunia itakuwa sehemu salama sana.
 
Nimeshafanya utafiti wa kumpa mtu mgonjwa wa ukimwi hakupona Huo Mlonge hautibu maradhi 300 kama wanavyosema watu wengine ni maneno ya uongo mtupu.Afadhali Mwarubaini ninaweza kukubaliana nao unatibu maradhi mengi kuliko Mti wa Mronge aka Mlonge moringa hautibu hayo maradhi waliyoyasema watu.
My goodness. Mbona tafiti zako, sijui nitumie neno gani sahihi... Lakini tunaweza ziita za hovyo? Sio ubinadamu wala utu kutumia mwili wa binadamu mwenzako kama gunia la mazoezi. Na ningepata mashaka sana kama ungepata majibu kwa tafiti kama unavyofanya.
Njia sahihi ya kujua kama viambata vya mlonge kweli vina madhara kwa virusi wanaosababisha UKIMWI ilikuwa kwanza ni kuwa-isolate halafu uwape dose zenye concentration tofauti tofauti, ili uje na majibu sahihi.
Mtakuja kuua watu
 
Hakusema Moringa haifai, ila inafaa kutumiwa yenyewe peke yake bila kuchanganywa na kitu kingine, hasa acidic foods kama karoti, spinach na maziwa. Moringa is a powerful wonder on its own.

Dr Sebi on Moringa....​




Msikilize Dr.Sebi anavyosema kuhusu Mlonge haufai kutumiwa kama tiba. Kama unajuwa kiingereza sikiliza vizuri sana.
 
Dr. Sebi speaks on how to heal eyesight



Ukitaka kutibu maradhi ya macho ili upate kuona vizuri funga siku 28 baada ya siku 28 za kufunga. Amka asubuhi kinga mkojo wako katika chupa kisha kaupeleke hospitali mkojo kwenye maabara ukapimwe je unayo maradhi yoyote yale? kama hauna maradhi mkojo wako.

Utumie Mkojo wako fanya hivi Uwe unapo amka asubuhi kabla ya kula kitu kinga mkojo wako glasi moja unywe asubuhi kabla ya kula. kitu kisha ukae kwa muda wa saa 1 bila ya kula chakula kwa muda wa siku 10 na huku uwe unakunywa maji kwa siku kunywa maji glasi 12. Ujiepushe kula vyakula vinavyouzwa madukani kama mtindi maziwa mayai na nyama za aina yoyote usile na wala chips ,karoti, na samaki wa aian yoyote ile kwa huo muda unaofunga.

Kula vyakula visivyo kobolewa na matunda na mboga za majani utapona maradhi yako ya macho. Maelezo hayo kwa mujibu wa RIP DR.SEBI.

Hahahah hili hapana
 

Benefits of Sea Moss Dr. Sebi​

s-l500.jpg


 
Back
Top Bottom