Pre GE2025 Mwamakula: Wajumbe wameambiwa kuipiga picha au kuweke alama karatasi ya kura kama ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye

Pre GE2025 Mwamakula: Wajumbe wameambiwa kuipiga picha au kuweke alama karatasi ya kura kama ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kupitia ukurasa wake wa X, askofu Mwamakula amasema wajumbe wameambiwa waweke alama ya ushahidi kwenye kura ili wapewe kipoozeo baadaye kwa kumchagua (Mbowe).

Mambo yameanza kuwa yamoto mapema kabisa!

=====

Pia soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu

"Wajumbe wameambiwa wakipiga kura waipige picha au waweke alama katika karatasi ya kura. Ni mbinu ya kuwabana wapiga kura wampigie mgombea fulani ili uwe ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye. Msimamizi wa Uchaguzi asiruhusu kura kupigwa picha na kuwekwa yeyote alama nyuma au mbele."

1737437861251.png
Huku Lema akiweka post jana akisema hilo halitaruhusiwa kufanyika.

1737440777700.png
 
Wakuu,

Wajumbe wameambiwa wakipiga kura waipige picha au waweke alama katika karatasi ya kura. Ni mbinu ya kuwabana wapiga kura wampigie mgombea fulani ili uwe ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye. Msimamizi wa Uchaguzi asiruhusu kura kupigwa picha na kuwekwa yeyote alama nyuma au mbele.

Duh, timu ya Mama Abduli maposho wanachanganyikiwa
 
Wakuu,

Kupitia ukurasa wake wa X, askofu Mwamakula amasema wajumbe wameambiwa waweke alama ya ushahidi kwenye kura ili wapewe kipoozeo baadaye kwa kumchagua (Mbowe).

Mambo yameanza kuwa yamoto mapema kabisa!

=====

Pia soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu

"Wajumbe wameambiwa wakipiga kura waipige picha au waweke alama katika karatasi ya kura. Ni mbinu ya kuwabana wapiga kura wampigie mgombea fulani ili uwe ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye. Msimamizi wa Uchaguzi asiruhusu kura kupigwa picha na kuwekwa yeyote alama nyuma au mbele."

Mbinu za kishamba Sana 😂
 
Wakuu,

Kupitia ukurasa wake wa X, askofu Mwamakula amasema wajumbe wameambiwa waweke alama ya ushahidi kwenye kura ili wapewe kipoozeo baadaye kwa kumchagua (Mbowe).

Mambo yameanza kuwa yamoto mapema kabisa!

=====

Pia soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu

"Wajumbe wameambiwa wakipiga kura waipige picha au waweke alama katika karatasi ya kura. Ni mbinu ya kuwabana wapiga kura wampigie mgombea fulani ili uwe ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye. Msimamizi wa Uchaguzi asiruhusu kura kupigwa picha na kuwekwa yeyote alama nyuma au mbele."

Rushwa haiendagi kwa namna hii....

Wanawezaje kutapeliwa kirahisi hivyo? Kama ndivyo watakuwa hawana akili kwa 100%...

Hakuna mjumbe mwenye akili sawasawa atakayefanya hivyo kwa utapeli uliowazi na mchana kweupe....

Watampa jamaa, wakimaliza ndiyo imetoka hiyo na hakuna atakayepata chochote ukiachilia hicho walichopata (kama kweli wamehongwa...)

Kwa kifupi ndo watakuwa wamechijiliwa baharini na jamaa atakuwa tayari ni mwenyekiti. Watamfanyeje..?

No way. Watakuwa wamepoteza vyote...

1. Trust kwa wanachama na wapenzi na mashabiki wao..

2. Pesa wanazofikiri wangetajirika kwa pesa za Mbowe...

3. Fursa ya kufanya mabadiliko ndani ya chama ambayo wanachama wao wanayataka..

In short, kwa maamuzi yao yanayoongozwa na tamaa ya fedha ya rushwa, yatagharimu furaha na amani yao the rest of their lives...

Mungu awasaidie na kuwarehemu...

Mungu wa mbinguni ktk Yesu Kristo awape akili na neema ya kufanya maamuzi sahihi yanayoongozwa na dhamiri zao safi...

Mtu anayetafuta uongozi kwa njia ya rushwa, huyo hatokani na Mungu wa mbinguni. Huyo baba yake ni Ibilisi shetani. Mkataeni, mwogopeni sana...
 
Back
Top Bottom