Pre GE2025 Mwamakula: Wajumbe wameambiwa kuipiga picha au kuweke alama karatasi ya kura kama ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna mawili... Chadema ikarudi stronger baada ya uchaguzi,au ikafa kibudu baada ya "uchafuzi"..
Mbowe alipaswa kutumia busara sana,madaraka yakamlevya!
As the two sides have failed to compromise....whatever the outcome, let the party go to hell once and for good !!
 
Wakiweka Tu viaalama tunahesabu zimeharibika
 
Kwani nani anajua hata uwepo wako ndugu. Ungefanya hivyo kimyakimya tu
Inakuuma nini wewe mpaka unifuate ilihali ukijua uwepo wangu hauna faida, kwa tarifa yako wewe huna uchungu wowote na Chadema

Wewe ndio wale maccm mnaoharibu Chadema kwa manufaa yenu na matumbo yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…