Mwamba alietunyoosha huyu hapa

Evelyn Salt

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wadogo zako wa kike wana kitu cha kujifunza. Ila mwamba kama alikuwa anajua ni urafiki tu kwa nini awe na wivu? Alishindwa hata kuwanyoosha wote wawiliπŸ€”
Sina mdogo wa kike, angenipa kazi sana ya kumchunga chunga asiwe na hizi harakati za kipimbi
 
Yaaji Eve uwasumbue wazazi halafu wewe uenjoy malezi, haipo hiyo. Hata mimi nasubiri kukinywea kikombe changu hapa🀣🀣🀣
Mimi sijamsumbua mtu hata 🀣🀣🀣🀣
 
Wanajifanya wasafi maanina [emoji706]
Yaani walizaliwa wakalelewa vizuri, wakawa wanaenda madrasa na wengine mafundisho ya ubatizo wakasoma wakafaulu, wakapata kazi tayari na kuoa na kuolewa 🀣🀣 watakatifu wote pita huku 😁
 
Kumbe mambo ya cha mtu hakiliwi bure ni ya tokea zamani [emoji23]
Nikadhani ni ya hawa watoto wa Pharao zama hizi. Ukila buku yake anataka akuguse nyonyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inavoonekana zamani kupata gashi ilikua songombingo haswa.

Miaka hii ule vya jamaa namna hiyo hata upaja asione mbona atakubaka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimechekaaaa mbavuuu cna, hakuna cha buree chini ya jua, hata pumzi unalipiaa, uwiiiiiiiih.

Ila Evee bhanaaaaa khaaaaah.
 
Mmmh kwa alivokuja na timbwili na kutujazia watu kurudisha ilikua bora aseee tena wenyewe ndio tunavifata ndani akisema tu leteee hao kuleta chap[emoji1787]
Khaaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnanuchekeshaaaa.
 
Yani walizaliwa wakalelewa vizuri, wakawa wanaenda madrasa na wengine mafundisho ya ubatizo wakasoma wakafaulu, wakapata kazi tayari na kuoa na kuolewa [emoji1787][emoji1787] watakatifu wote pita huku [emoji16]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1]jf Kila mtu malaika dadaa
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1]jf Kila mtu malaika dadaa
Hongera zao mi Kwakweli nlikua na vitu vingi, kuna kipindi nlikua navutiwa na harufu za sigara sivuti ila nanunua naweka kwenye bag la shule basi begi madaftari vinanuka sigara tu nainjoi hadi basi
 
Tena wengine ndani Kuna baba na mama ila washenzii balaaa
Yani ile foolish age ikupite hivi hivi umenyooka kama tula 🀣🀣🀣 mi ilinipita na kimbunga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Duh, mliwatia aibu wazazi aisee, maza alificha wapi uso wake kwa majirani?

Ila malezi ni kitu kigumu sana...
Kwa stori ya Mleta mada huenda alipata kulelewa kwa sehemu Kubwa na Mama peke yake (Pengine Baba alikuwa mbali kikazi/Walitengana na Mama/Alitangulia mbele ya haki).

Kulea mtoto peke yako/ Single Parent iwe Me/Ke peke yake Lina implications Sana kwenye Malezi ya mtoto( Speaking from experience)

Kuna baadhi ya Tabia mtoto hawezi kuzionyesha/Develop Baba akiwa Mkali nyumbani.

Ingawaje suala la Malezi kwa Ujumla ni kumwomba Mungu asaidie tu.

Biblia inasema "Mlee Mtoto katika Njia impasayo(ya KiMungu) naye hatoiacha hata atakapokuwa Mzee"

Anyhow, huenda Mleta mada amekuja kuchangamsha Kijiwe lakini Lesson learnt.

Mungu atusaidie kwenye Malezi ya Watoto wetu, manake tunawalea kwenye kipindi kigumu Cha Utandawazi, Ubusy wa Utafutaji Mama/Baba wote wako busy kwenye kutafuta hivyo majukumu ya kulea tumewaachia Dada wa Kazi.
 
Ulipotaja ilemela tu, umenikumbusha Dinah wangu na dimples zake. Alaaniwe sana wakati ule simu hakuna anakupa appointment mkutane mahali halafu hatokei.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…