Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #101
Hata baba yangu nae ujana wake bila shaka alikua na harakati zake hakuna jipya chini ya hili jua acheni unafiki wanaSijui baba yako alikuwa anajisikiaje.... Dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata baba yangu nae ujana wake bila shaka alikua na harakati zake hakuna jipya chini ya hili jua acheni unafiki wanaSijui baba yako alikuwa anajisikiaje.... Dah
SUkari ya Mama J haijawahi tudisappoint humu ndani..... story mwanzo mwisho tunafunga wengine sasa 🙄Ufanye kama DeepPond, story iishe leo leo mkuu!
😂😂😂😂😂Ila miaka ya nyuma pesa Za wanaume zilikua zinalika kirahisi sana
Hawa wa siku hizi wamejanjaruka ukifanikiwa hata kula 10,000 ujue utaliwa tu
Dooh..hadi nimestuka😂Ulipotaja ilemela tu, umenikumbusha Dinah wangu na dimples zake. Alaaniwe sana wakati ule simu hakuna anakupa appointment mkutane mahali halafu hatokei.
Umesoma Jitegemee JKT.Aibu muhimu
Labda majirani wa zamani hawakuwa wanaa kama wa enzi hizi.
Ila kwa baba angu nifanye hicho kitu nitachapwa nizimie.
Nakumbuka adv
palikuwa na trip ya shule, na class yetu tukapanga trip kwa ile tarehe.
Home nikaenda kudanganya ni ile trip ya shule, nikapewa hela.
Mimi nikaenda trip ya darasa,, imefika saa 1 sijafika nyumbani sababu ya foleni za Dar.
Mshua kapiga simu shule 😂
Aloo kuangaliwa jina hata kwa trip ya shule sikuwepo.
Mshua akanikaanga
Nikarudi home nikaipata fresh
Na kesho shule nikakipata cha moto ‘mishule ya jeshi tena inavyokuwaga na fimbo zao spesho zimekaushwa 🤣
Aisee nilikula mboko
Naulizwa nilikokuwa nakosa majibu ‘hapo sitaki kulichoma darasa maana ni wangetandikwa wotee.
Naulizwa ulikuwa kwa mwanaume? Nasema hapana madam me hata sijawahi hata ukinikagua 😂😂
Sasa kwanini haukuwepo nyumbani na trip hukuwepo!?
Maswali yanasindikizwa na viboko.
Nilikoma sanaa
Wewe sasa hivi Mbappe akikutongoza utamchomolea? Kama ni ndio niite KIDUME20 nimekaa pale 🈁Ujana una harakati zake acheni unafiki 😁
poleeDooh..hadi nimestuka😂
Ujana una harakati zake acheni unafiki [emoji16]
Hapo baba hajatajwa, inaonesha baba hakuwepo - aidha alishatutoka au single parenting.Duh, mliwatia aibu wazazi aisee, maza alificha wapi uso wake kwa majirani?
Ila malezi ni kitu kigumu sana...
Baba alisemaje au alifanyaje?Akatuacha na maswali what's next, bi mkubwa alitufokea mno
Yaaji Eve uwasumbue wazazi halafu wewe uenjoy malezi, haipo hiyo. Hata mimi nasubiri kukinywea kikombe changu hapa🤣🤣🤣Mungu ni mwenye huruma sio kama wanadamu 😁
DepalAibu muhimu
Labda majirani wa zamani hawakuwa wanaa kama wa enzi hizi.
Ila kwa baba angu nifanye hicho kitu nitachapwa nizimie.
Nakumbuka adv
palikuwa na trip ya shule, na class yetu tukapanga trip kwa ile tarehe.
Home nikaenda kudanganya ni ile trip ya shule, nikapewa hela.
Mimi nikaenda trip ya darasa,, imefika saa 1 sijafika nyumbani sababu ya foleni za Dar.
Mshua kapiga simu shule 😂
Aloo kuangaliwa jina hata kwa trip ya shule sikuwepo.
Mshua akanikaanga
Nikarudi home nikaipata fresh
Na kesho shule nikakipata cha moto ‘mishule ya jeshi tena inavyokuwaga na fimbo zao spesho zimekaushwa 🤣
Aisee nilikula mboko
Naulizwa nilikokuwa nakosa majibu ‘hapo sitaki kulichoma darasa maana ni wangetandikwa wotee.
Naulizwa ulikuwa kwa mwanaume? Nasema hapana madam me hata sijawahi hata ukinikagua 😂😂
Sasa kwanini haukuwepo nyumbani na trip hukuwepo!?
Maswali yanasindikizwa na viboko.
Nilikoma sanaa
Panapobidi fimbo muhimu 🤪