Mwamba Mpina abishana na Bunge zima, wamzomea. Asimamisha Bunge kwa dakika 20

Wote sawa tu hata huyo mpina hamanishi ni vile kapokonywa chakula/ uwaziri! Huyu si ndo alikuwq anachomq nyavu za wavuvi? Huyu si aliwapora wananchi hearing 300 za ardh huko moro huyu?
Hata KAMA nini mimi lazima nigechoma tu Hayo makokoro waafrika tunapenda sana kujiangalia sisi kwa wakati huu .mtu anavua hadi viluwiluwi sojui kesho atavua nini
 
Hata KAMA nini mimi lazima nigechoma tu Hayo makokoro waafrika tunapenda sana kujiangalia sisi kwa wakati huu .mtu anavua hadi viluwiluwi sojui kesho atavua nini
Baada ya kuchoma ikawaje? Sheria ilibadiloshwa!?
 
Huyo kishabi pimbi sana mi nakumbuka mh mwenyekiti mtukufu alitangaza kujitoa kwenye uchaguzi au nimesahau ndugu zangu
 
Asa mkuu hizi mb zote..utatulipia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah nimecheka sana aisee. Ntumie namba yako unayojiunga vifurushi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu ndiye alikuwa anapima Samaki kwa rula!, Kifo cha Jiwe kama kimepunguza akili kidogo kumkichwa yake hivi.
 
Wote sawa tu hata huyo mpina hamanishi ni vile kapokonywa chakula/ uwaziri! Huyu si ndo alikuwq anachomq nyavu za wavuvi? Huyu si aliwapora wananchi hearing 300 za ardh huko moro huyu?
Binadamu hamna shukurani hata kidogo!! Ukifanya hivi wanakufanya mjinga. Ndo maana Mwenyekiti wenu kaamua kutafuna tu Ruzuku za chama
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Mpina jembe sio kama hiyo mifugo ya CCM iliyipelekwa na Magufuli kwenda kupiga meza na kula fedha zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…