Mwamba Mpina abishana na Bunge zima, wamzomea. Asimamisha Bunge kwa dakika 20

Mwamba Mpina abishana na Bunge zima, wamzomea. Asimamisha Bunge kwa dakika 20

Wote sawa tu hata huyo mpina hamanishi ni vile kapokonywa chakula/ uwaziri! Huyu si ndo alikuwq anachomq nyavu za wavuvi? Huyu si aliwapora wananchi hearing 300 za ardh huko moro huyu?
Hata KAMA nini mimi lazima nigechoma tu Hayo makokoro waafrika tunapenda sana kujiangalia sisi kwa wakati huu .mtu anavua hadi viluwiluwi sojui kesho atavua nini
 
nani wa kusikiliza ule utopolo wake. Mpina ni poyoyo tu km wewe.
.
20230106_122141.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni shoga pekee anayeweza kifikir mpina ni sawa na chama kizima cha chadema na hao mashoga wanaofikir hivyo napenda kuwapa taarifa japo kwa ufupi,
1. Ni kwamba mpina ambaye ni mbunge wa mchongo wa kisesa na toka atangazwe kibabe na mkurugenz aliyekuwepo hapa Meatu aitwaye Manoza hajawahi kurudi kwenye jimbo lake lake la mchongo hata kata zilizo njian za Sangaitinje na Isengwa kushukuru hao mnaofikir wapiga kura wake.
2. Kijana shupavu wa chadema aitwae NICHOLOUS KISHABI aliyeporwa ushindi kwa nguvu alimchachafya huyo mpina wenu mpaka akasanda solution waliyobaki nayo ni kupora uchaguz matokeo yake ofis za serikali zikachomwa moto na wapigania haki wanaojielewa.
3. Luhaga mpina alimfungulia kesi MWAMBA NICHOLOUS KISHABI akifikir atafanikiwa kuutuliza moto akahonga mahakama ya Hakimu mkazi Bariadi mwamba kishabi akahukumiwa miaka mitatu akiwa amepiga hesabu ya uchaguzi 2025 matokeo yake MAHAKAMA KUU KANDA YA SHINYANGA ikafuta hukumu ya kihuni na kishabi aliporudi wananchi wakachanga ng'ombe zaidi ya kumi watu wakala na kuchoma nyama za kutosha nyumban kwake kishabi pale Mwandoya.
Sasa mapoyoyo na mashoga ya ccm msiojua kanda ya ziwa vizuri mtaenda kuelewa uchaguzi wa 2025.
Huyo kishabi pimbi sana mi nakumbuka mh mwenyekiti mtukufu alitangaza kujitoa kwenye uchaguzi au nimesahau ndugu zangu
 
Asa mkuu hizi mb zote..utatulipia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah nimecheka sana aisee. Ntumie namba yako unayojiunga vifurushi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu ndiye alikuwa anapima Samaki kwa rula!, Kifo cha Jiwe kama kimepunguza akili kidogo kumkichwa yake hivi.
 
Wote sawa tu hata huyo mpina hamanishi ni vile kapokonywa chakula/ uwaziri! Huyu si ndo alikuwq anachomq nyavu za wavuvi? Huyu si aliwapora wananchi hearing 300 za ardh huko moro huyu?
Binadamu hamna shukurani hata kidogo!! Ukifanya hivi wanakufanya mjinga. Ndo maana Mwenyekiti wenu kaamua kutafuna tu Ruzuku za chama
 
😆😆😆 Mpina jembe sio kama hiyo mifugo ya CCM iliyipelekwa na Magufuli kwenda kupiga meza na kula fedha zetu.
 
Back
Top Bottom