Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari!
Kuna tetesi Mwamba wa Lusaka hadi leo hajaongeza mkataba wake katika club ya Simba.
Hawa watani wanazunguka huku na kule kujitahidi kumshawishi Mwamba kusaini ila odds zinakuwa ndogo kila siku maana hivi karibuni wameanza kuwa Waswahili.
Kwa kweli itakuwa pigo kuu na anguko kubwa kwa watani.
Kuna tetesi Mwamba wa Lusaka hadi leo hajaongeza mkataba wake katika club ya Simba.
Hawa watani wanazunguka huku na kule kujitahidi kumshawishi Mwamba kusaini ila odds zinakuwa ndogo kila siku maana hivi karibuni wameanza kuwa Waswahili.
Kwa kweli itakuwa pigo kuu na anguko kubwa kwa watani.