Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama kutua Jangwani!

Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama kutua Jangwani!

Hiyo hoja ya mwisho ya Simba kutumia pesa zaidi ya waliyotarajia naona ndio itafunga haya yote!
Taarifa za ndani ni kwamba bado Simba wanajadili mahitaji ya Chama kwa ajili ya mkataba mpya.

Inaelezwa kuwa nyota huyo anahitaji pesa ya usajili shilingi milioni 250 kwa mkataba wa miaka miwili na mshahara wa Shilingi milioni 16 kwa mwezi. Siyo uongo kuhusu Yanga kumtaka Chama.

Taarifa tulizonazo ni kwamba Yanga wametenga dau nono zaidi ya Simba lakini tatizo ni kwamba tayari Chama ana ofa kubwa zaidi Afrika Kusini na Uarabuni na iwapo atashindwana na Simba, hatamani kujiunga na timu yoyote ya Tanzania.

Lolote linaweza kutokea, lakini ni wazi kuwa Simba hawapo tayari hata kidogo kumpoteza Chama.

Zipo fununu kuwa dau walilotenga Yanga linafikia Milioni 300 na mshahara wa milioni 18 kwa mwezi, lakini ipo nadharia pia kwamba Yanga wanawachezea Simba mchezo ili watumie pesa nyingi zaidi ya walivyopanga katika dili hilo.
 
Habari!

Kuna tetesi Mwamba wa Lusaka hadi leo hajaongeza mkataba wake katika club ya Simba.

Hawa watani wanazunguka huku na kule kujitahidi kumshawishi Mwamba kusaini ila odds zinakuwa ndogo kila siku maana hivi karibuni wameanza kuwa Waswahili.

Kwa kweli itakuwa pigo kuu na anguko kubwa kwa watani.
TK master kutua msimbazi
 
Chama hawezi contact game. Anaweza tu mchezo wa nafasi, that's why juzi na Utopolo ameshindwa coz alikabwa kotekote. Sasa huyoo mchezaji au mzigo?
Kwa hiyo kwenye hiyo mechi kulikuwa na wachezaji mizigo tu? Kama sio ni yupi aliemzidi chama kwa kuweza hiyo contact game (kupark bus) na wanafasi na kwa mantiki hiyo huko tayari kusema huyo mchezaji ni zaidi ya chama?
 
Back
Top Bottom