makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,171
- 3,461
Timu ya Taifa tu hayumo....unataka aende wapi!!!...hapa ndio kafika haswa kwa wananchi.Atakuwa mpumbavu kama akisaini hapa Tanzania tena.
Kwa kiwango alichoonesha alipaswa asogee mbele zaidi na si kubaki level ile ile.