Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama kutua Jangwani!

Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama kutua Jangwani!

Atakuwa mpumbavu kama akisaini hapa Tanzania tena.

Kwa kiwango alichoonesha alipaswa asogee mbele zaidi na si kubaki level ile ile.
Timu ya Taifa tu hayumo....unataka aende wapi!!!...hapa ndio kafika haswa kwa wananchi.
 
Timu ya Taifa tu hayumo....unataka aende wapi!!!...hapa ndio kafika haswa kwa wananchi.
Timu ya Taifa hayumo kwa sababu za binafsi na Mwalimu wake.

Hata hivyo National team ana nafasi ya uhakika pamoja na uwepo wa wachezaji wazuri kama Patson Daka
 
Chama ndiyo aliongoza kupiga pasi mechi ya juzi pasi 76 timu nzima ya yanga hakuna aliyefikia nusu ya pasi zake
Square passes bwa bwa ...dk 45 za mwanzo hakuna shot on target....Kile ndio kiwango Chenu labda marefa wawabebe kama misimu iliyopita
 
Habari!

Kuna tetesi Mwamba wa Lusaka hadi leo hajaongeza mkataba wake katika club ya Simba.

Hawa watani wanazunguka huku na kule kujitahidi kumshawishi Mwamba kusaini ila odds zinakuwa ndogo kila siku maana hivi karibuni wameanza kuwa Waswahili.

Kwa kweli itakuwa pigo kuu na anguko kubwa kwa watani.
Simba si wameweka price tag sasa wasiwasi wa nini tena ?
 
Habari!

Kuna tetesi Mwamba wa Lusaka hadi leo hajaongeza mkataba wake katika club ya Simba.

Hawa watani wanazunguka huku na kule kujitahidi kumshawishi Mwamba kusaini ila odds zinakuwa ndogo kila siku maana hivi karibuni wameanza kuwa Waswahili.

Kwa kweli itakuwa pigo kuu na anguko kubwa kwa watani.
😆😆
 
Back
Top Bottom