Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
-
- #21
Daaah mkuu unakumbukaUle uzi wa Reptilia
Kama una Chupayamaji ungepooza kwanza kooNimefungua uzi nikaanza kuscroll ili nione kama ni kafupi ili nikasome.Kumbe ni mnara wa babeli
Kaza bhana,be a manVinjiwa
To yeye
Sawa mkuuKaza bhana,be a man
Umesoma kweli au umeona ni gazetiπ π πKumlilia mwanamme mwenzio kisa mwanamke ni udhaifu zaidi ya udhaifu.
But why[emoji23]Why mnara lakini[emoji28][emoji28]
Nimeishia hapo wizara XUmesoma kweli au umeona ni gazetiπ π π
Kabisa mkuuKama una Chupayamaji ungepooza kwanza koo
Nipe namba zao mkuu[emoji2][emoji2][emoji2] haya mashairi ungeshare na Marioo au v vanny boy angekutolea wimbo mmoja hatari sana !!!
π π πNimeishia hapo wizara X
But why[emoji23]
Kwelii mkuuTafuta hela mkuu hawa viumbe kuwaelewa ni ngumu sana
π π π πKheeeh! nimeishia kwenye Shimboni Shafoo maandazi yakija ntamalizia!
Dah.... Punguza mwendo mrembo.... Kwa mwandiko huu....usishangae kesho akarudi na Uzi mwingine...."Mnaotaka tuachane mtasubiri sana" π€£π€£π€£π€£Move on huyo mwanamke hakufai kabisa, pole that's life