Mwambieni asithubutu kukata Rufaa au kuitisha Press Conference ya kufanya 'Counter' kwani yatamkuta Makubwa zaidi

Mwambieni asithubutu kukata Rufaa au kuitisha Press Conference ya kufanya 'Counter' kwani yatamkuta Makubwa zaidi

Aliingilia majukumu ya kamati ya sheria na hadhi za wachezaji katika kesi ya Morrison, akapigwa faini 5ml na kamati ya maadili mwaka 2020

Ambapo alitakiwa kukaa miaka 2 bila kutenda kosa la kimaadili kwa kipindi hicho.

Angalizo: endapo kama atakata rufaa, japo sheria na kanuni zimewekwa wazi lakini ni mtego tu, huenda yakatokea kama ya Richard Wambura.
 
Nasikia secretariat ya TFF itakatia rufaa hukumu aliyopewa ni laini sana kulingana na kosa alilokiri mwenyewe kulitenda na kwa kuzingatia pia huyu kiumbe ni mzoefu wa makosa haya na ana record chafu ya kugombana na waandishi wengi wa habari za michezo.
 
uyo kiboko yake ni jerry mulo yule ndiye chizi mwenzake japo amekuja nyumbani yanga ila uyu jamaa GSM walitukosea sana kutuletea uyu jamaa wakamtosa Nugaz tuliyepambana nae kipindi tuko vibaya kiuchumi alikubali kuitwa majina yote na manara lakini ukumsikia akitukana wala kumvunjia heshima manara ..manara ujiona yeye ni mkubwa zaidi ya chochote apa tanzania alishawai kutuita yanga kuwa ukimtoa Baba yake na mzee jakaya wote tuliobaki hatuna akili alafu mtu uyo uyo GSM wakatuletea nawalaumu TFF adhabu waliyompa ni ndogo ilitakiwa apigwe angalau 5yrs
 
Na tff wamemwambia ana nafasi ya kukata rufaa ndani ya siku 24...huo ni mtego anaweza kupigwa ban mbaya zaidi ya hii....
Hebu twendeni kwenye reality. Hiyo adhabu haitekekezeki unamzuiaje mtu ambaye ni shabik asijiusishe na soka!!??
Jamaa anaweza akabaki kwenye maistagram yake huko anajadili soka. Mtamuitia polisi au!?
 
Mdomo umemponza.... Kosa lingine ni pale alipokimbilia kwenye media baada ya lile tukio kuongeaongea tena....
 
Miezi 24 siyo mingi sana kama ukiwa Unakunywa sana Bia au Unavuta Bangi au Unabwia mno Ugolo wa Mwarabu Buguruni Malapa na Ilala Bungoni au pale katika Balcony Ghorofani Masaki jirani na Slip Way.
Hivi mtu akiambiwa achague street smart kama Manara au awe msomi wa mchongo kama wewe popoma unadhani atachagua kipi?

BTW Manara aliwahi kua approached na SAUT ili akapewe degree ya mchongo kama yako na akawachomolea.
 
uyo kiboko yake ni jerry mulo yule ndiye chizi mwenzake japo amekuja nyumbani yanga ila uyu jamaa GSM walitukosea sana kutuletea uyu jamaa wakamtosa Nugaz tuliyepambana nae kipindi tuko vibaya kiuchumi alikubali kuitwa majina yote na manara lakini ukumsikia akitukana wala kumvunjia heshima manara ..manara ujiona yeye ni mkubwa zaidi ya chochote apa tanzania alishawai kutuita yanga kuwa ukimtoa Baba yake na mzee jakaya wote tuliobaki hatuna akili alafu mtu uyo uyo GSM wakatuletea nawalaumu TFF adhabu waliyompa ni ndogo ilitakiwa apigwe angalau 5yrs
Hahah
 
Back
Top Bottom