political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Kumekuchaaaaa[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Degree yako ya SAUT haina tofauti na zile Degree za kyupi za UDSM na IFM.Miezi 24 siyo mingi sana kama ukiwa Unakunywa sana Bia au Unavuta Bangi au Unabwia mno Ugolo wa Mwarabu Buguruni Malapa na Ilala Bungoni au pale katika Balcony Ghorofani Masaki jirani na Slip Way.
Pimbi wa SAUT wewe.Miezi 24 siyo mingi sana kama ukiwa Unakunywa sana Bia au Unavuta Bangi au Unabwia mno Ugolo wa Mwarabu Buguruni Malapa na Ilala Bungoni au pale katika Balcony Ghorofani Masaki jirani na Slip Way.
Alivyo Mpumbavu na mpenda Sifa najua tu kuwa atakata Rufaa na hapo sasa ndipo atajua kwanini Nyoka hana Ugoko au kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo.Na tff wamemwambia ana nafasi ya kukata rufaa ndani ya siku 24...huo ni mtego anaweza kupigwa ban mbaya zaidi ya hii....
Mkuu yaani Nimecheka mpaka basi!!Mi nikimuona hata huku kweny chandimu natoa taarifa polisi
Na ndiyo maana nimemuonya mapema.Nasikia secretariat ya TFF itakatia rufaa hukumu aliyopewa ni laini sana kulingana na kosa alilokiri mwenyewe kulitenda na kwa kuzingatia pia huyu kiumbe ni mzoefu wa makosa haya na ana record chafu ya kugombana na waandishi wengi wa habari za michezo.
Huenda Wewe ndiyo ukawa mwana Yanga SC mwenye Akili Kubwa ( Intelligent ) hapa Jamiiforums nzima tofauti na akina Frank Wanjiru na Wenzake. Heko sana Mkuuuyo kiboko yake ni jerry mulo yule ndiye chizi mwenzake japo amekuja nyumbani yanga ila uyu jamaa GSM walitukosea sana kutuletea uyu jamaa wakamtosa Nugaz tuliyepambana nae kipindi tuko vibaya kiuchumi alikubali kuitwa majina yote na manara lakini ukumsikia akitukana wala kumvunjia heshima manara ..manara ujiona yeye ni mkubwa zaidi ya chochote apa tanzania alishawai kutuita yanga kuwa ukimtoa Baba yake na mzee jakaya wote tuliobaki hatuna akili alafu mtu uyo uyo GSM wakatuletea nawalaumu TFF adhabu waliyompa ni ndogo ilitakiwa apigwe angalau 5yrs
Ndo wanamzika taratibu huku wakijifanya wako nae..Kumekuchaaaaa[emoji16][emoji16]View attachment 2299181
Bugati ni mzee wa koneksheni....huenda rufaa ikapindua mezaTunamsubiri alete rufaa yake ndiyo atajua kuwa hajawahi kujua kitu.
Imeisha hiyo Kudadadeki zenu sawa?TFF badala ya kukaa na kutafakari jinsi ya kuendeleza soka nchini, wako bize kumdiscuss MTU mmoja kisa kajitoa Simba wakati wao ni Simba damu.
Tell me, kumfungia Manara kutaendelezaje soka Tanzania?
Au ikakoleza huu moto, nyie muwasheni tu akiwaka hakuna wa kumzimaBugati ni mzee wa koneksheni....huenda rufaa ikapindua meza
Safi sana Mtani, Tusimame kwenye Maadili.uyo kiboko yake ni jerry mulo yule ndiye chizi mwenzake japo amekuja nyumbani yanga ila uyu jamaa GSM walitukosea sana kutuletea uyu jamaa wakamtosa Nugaz tuliyepambana nae kipindi tuko vibaya kiuchumi alikubali kuitwa majina yote na manara lakini ukumsikia akitukana wala kumvunjia heshima manara ..manara ujiona yeye ni mkubwa zaidi ya chochote apa tanzania alishawai kutuita yanga kuwa ukimtoa Baba yake na mzee jakaya wote tuliobaki hatuna akili alafu mtu uyo uyo GSM wakatuletea nawalaumu TFF adhabu waliyompa ni ndogo ilitakiwa apigwe angalau 5yrs
mi hata nikumwona tu amebeba mpira natoa taarifa polisi na TFF,ameambiwe asijihusishe kabisa na mpira.Mi nikimuona hata huku kweny chandimu natoa taarifa polisi
Utamuonea wapi?mi hata nikumwona tu amebeba mpira natoa taarifa polisi na TFF,ameambiwe asijihusishe kabisa na mpira.