GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tunamsubiri alete rufaa yake ndiyo atajua kuwa hajawahi kujua kitu.Miezi 24 siyo mingi sana kama ukiwa Unakunywa sana Bia au Unavuta Bangi au Unabwia mno Ugolo wa Mwarabu Buguruni Malapa na Ilala Bungoni au pale katika Balcony Ghorofani Masaki jirani na Slip Way.
Utaacha lini ujinga wako? Mambo ya Yanga wewe shabiki wa Simba yanakuhusu nini?Miezi 24 siyo mingi sana kama ukiwa Unakunywa sana Bia au Unavuta Bangi au Unabwia mno Ugolo wa Mwarabu Buguruni Malapa na Ilala Bungoni au pale katika Balcony Ghorofani Masaki jirani na Slip Way.
Msimtishe!!!Na tff wamemwambia ana nafasi ya kukata rufaa ndani ya siku 24...huo ni mtego anaweza kupigwa ban mbaya zaidi ya hii....
Hebu twendeni kwenye reality. Hiyo adhabu haitekekezeki unamzuiaje mtu ambaye ni shabik asijiusishe na soka!!??Na tff wamemwambia ana nafasi ya kukata rufaa ndani ya siku 24...huo ni mtego anaweza kupigwa ban mbaya zaidi ya hii....
Wewe huna akili. Bwege tuMiezi 24 siyo mingi sana kama ukiwa Unakunywa sana Bia au Unavuta Bangi au Unabwia mno Ugolo wa Mwarabu Buguruni Malapa na Ilala Bungoni au pale katika Balcony Ghorofani Masaki jirani na Slip Way.
Hivi mtu akiambiwa achague street smart kama Manara au awe msomi wa mchongo kama wewe popoma unadhani atachagua kipi?Miezi 24 siyo mingi sana kama ukiwa Unakunywa sana Bia au Unavuta Bangi au Unabwia mno Ugolo wa Mwarabu Buguruni Malapa na Ilala Bungoni au pale katika Balcony Ghorofani Masaki jirani na Slip Way.
Hahahuyo kiboko yake ni jerry mulo yule ndiye chizi mwenzake japo amekuja nyumbani yanga ila uyu jamaa GSM walitukosea sana kutuletea uyu jamaa wakamtosa Nugaz tuliyepambana nae kipindi tuko vibaya kiuchumi alikubali kuitwa majina yote na manara lakini ukumsikia akitukana wala kumvunjia heshima manara ..manara ujiona yeye ni mkubwa zaidi ya chochote apa tanzania alishawai kutuita yanga kuwa ukimtoa Baba yake na mzee jakaya wote tuliobaki hatuna akili alafu mtu uyo uyo GSM wakatuletea nawalaumu TFF adhabu waliyompa ni ndogo ilitakiwa apigwe angalau 5yrs