Mwambieni asithubutu kukata Rufaa au kuitisha Press Conference ya kufanya 'Counter' kwani yatamkuta Makubwa zaidi

Miezi 24 siyo mingi sana kama ukiwa Unakunywa sana Bia au Unavuta Bangi au Unabwia mno Ugolo wa Mwarabu Buguruni Malapa na Ilala Bungoni au pale katika Balcony Ghorofani Masaki jirani na Slip Way.
Haha kumbe simba mnakerwa kiasi hiki na Manara mtani?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Acha upopoma rufaa itakatwa na atashinda
 
Miezi 24 siyo mingi sana kama ukiwa Unakunywa sana Bia au Unavuta Bangi au Unabwia mno Ugolo wa Mwarabu Buguruni Malapa na Ilala Bungoni au pale katika Balcony Ghorofani Masaki jirani na Slip Way.
Subiri kidogo itajua nguvu ya manara
 
Nugaz ni mtu wa dini
 
Wewe ni utopolo mwenye akili ya kujielewa. Wengine hawana akili kama Manara alivyosema
 
Manara atachakaa narudia atachakaa. Atulize meno ugoro chini Au akiona chungu sana ajichune ngozi auze. Bumbafuuu
Manara atakushangaza subiri.
Ipo siku hii post itaheshimiwa.
 
Manara atachakaa narudia atachakaa. Atulize meno ugoro chini Au akiona chungu sana ajichune ngozi auze. Bumbafuuu
Manara hachakai Wala hachuji.
Manara mtoto wa mjini hata wewe ushahidi unaujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…