Mwambieni CAG, sisi tumeridhika kwa kuwa tumezoea kuibiwa

Ndio misamiati aliyowaachia.
Ushahuri jikomboe na utumwa wa akili
Utumwa wa akili upi,wa kuwapenda Watanzania,kuchukia ubinafsi,mabeberu na mafisadi!Never.Ila waambieni mabwana zenu mafisadi na mabeberu,kwamba the war is not over yet,it has just begun.The final battle will be in 2025.
 
Utumwa wa akili upi,wa kuwapenda Watanzania na kuachana na ubinafi.Never.Ila waambieni mabwana zenu mafisadi na mabeberu,kwamba the war is not over yet,it has just began.The final battle will be in 2025.
Wewe dish litakuwa limetikisika,
Vita mnapigana nanani au na report ya CAG
 
Wananchi wengi mtaani wanaujua ukwel kazi ilifanyika tukaiona kwa macho serikali zote zilikuwa na ufisadi mpaka ya Nyerere akawataifishia vitu itakuwa kwa makufuli? Enzi ambayo unaibiwa kwa mtandao? Inzi wako kila mahali SAA zingine hawazuiliki ukijisaidia porini unashangaa hawa hapa ndivyo jinsi ubadhirifu ulivyo mzee alipambania kombe mpaka mwisho inzi nao walidokoa dokoa ila sio chakula kingi kama walivyokuwa wamezoea...
 
Rally. Nitajie beberu mmoja tu amabye Tanzania haina ushirika naye na ambaye tunapaswa kutoshirikiana naye.
Wako wengi,sina haja ya kuwataja.Ila la msingi ni kujitambua ili in evey area of business tuwe na a win win situation.Na hii itatulazimu kubadili sheria zetu.
 
CAG katumwa sio bure. Report gani ile kila kitu kibaya. Sijasikia jambo zuri lolote kwenye hiyo report. Kwa nn ofisi ya makamu wa raisi na bunge hakuna!!
MAtaga tuko na JPM forever.
Hata mm nimejiuliza sana
 
Naona bado unahangover we chawa.

Ni hivi,sisi watanzania wazalendo wa kweli hatujaridhika. Tutazingatia ripoti ya CAG na kuchukua hatua!

Kama Magufuli wako alikuwa msafi kwa nini alizuia uhuru wa vyombo vya habari?

Aliteka vyombo vyote vya habari na kufanya propaganda ya uzalendo kwa kutumia daraja la wanyonge ili kuwabrainwash watanzania wasiojitambua.

Serikali zote za madikteta huwa hazina ufanisi. Zinakuwaga corrupt. Taarifa ya Kichele haina tofauti na ile ya Prof Assad! Hawa wametimiza majukumu yao kikamilifu. Watanzania wazalendo wa kweli tunawapongeza.
 
Wewe dish litakuwa limetikisika,
Vita mnapigana nanani au na report ya CAG
Akili yako ilivyo ndogo hata hujui,kalale you do not deserve to argue with me.The fact that unapigia upatu in any way mabepari inaonyesha kwamba you are so low in your thinking capacity.
 
Tunashukuru shetani mtu kafa!
 
Hata mm nimejiuliza sana
Sasa mlitaka aandike mazuri wakati hayapo??? Tatizo mlizoea kudanganywa kwamba kilakitu kiko sawa kumbe watu wanaiba tu nyuma ya pazia. Uko zako Kijijini huko watu wanaiba wizara ya maliasili hujui lolote halafu unasema unadanganywa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We jamaa una akili sana, na Mungu akubariki.
 
Kama hujui kwamba hakuna uhuru usio na mipaka,then you do not deserve to argue with me.
 
Huna haki ya kutuwakilisha Watanzania wote kwenye mambo yako ya hovyo hovyo.
Mimi ni mtanzania na nina haki ya kutoa mawazo yangu.Nimeridhika na wizi wa Magufuli,kwa kuwa hata kama kaiba,ila nimeona alichofanya,tena kikubwa.Wengine walishibisha matumbo yao,familia zao na kugawa bure mali za Watanzania kwa mabeberu.
 
Kweli wewe ni miongoni mwa wale wanyonge ambao aliwapumbaza Mr. Kibwetere kiasi hata angewaambia muingie mahali awachome mngekubali. Inasikitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…