Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Nadhani tunaelewana kwamba kwenye ukumbi huu dj ni mmoja TU! Na muziki unaotakiwa kuchezwa humu ni taarabu TU au mziki wowote wenye mahadhi ya kingazija! Haiitajiki kelele au kutupatupa mikono ama kuruka majoka.
Ma dj wetu kutoka bara wamechemka wakapigwa benchi, si mnamkumbuka lukuvo na kabudo? Mziki wa taarabu wao wakawa wanacheza leggae! Jobo aliambiwa apige taarabu akaanza kupiga singeli ya Mzee wa bwax akatupwa nje.
Bahari hii haihitaji samaki wenye meno! Maana chakura kilichopo tunagawana sawa, na mtoto wa miezi miwili anapakuliwa kwa kipimo kilekile cha wazee wa miaka 64 Mungu aturehemu! Mama hataki mtu apunjwe!
Ma dj wetu kutoka bara wamechemka wakapigwa benchi, si mnamkumbuka lukuvo na kabudo? Mziki wa taarabu wao wakawa wanacheza leggae! Jobo aliambiwa apige taarabu akaanza kupiga singeli ya Mzee wa bwax akatupwa nje.
Bahari hii haihitaji samaki wenye meno! Maana chakura kilichopo tunagawana sawa, na mtoto wa miezi miwili anapakuliwa kwa kipimo kilekile cha wazee wa miaka 64 Mungu aturehemu! Mama hataki mtu apunjwe!