Mwambienix2 mali yake ishaliwa

Humu wanaume wengi choka mbaya, unemployed graduates wanatamani kwa macho tu na kuji babyish kwenye keyboard, ukiambiwa utume muamala bibie anahitaji akale pizza Tammarind unaanza kutetema. Ndio maana mapenzi mengi ya JF hayana maisha marefu.

Wenye pesa nao wanataka watafute mademu wote jukwaani

Evelyn Salt quoted:-
Wanaume wa jf mnalala sana kubabake zenu
 
Hadia Raha ni kweli yaani ukisema natafuta mume humu wanakuomba hela ya chakula , hela ya bando , hela ya kila kitu yaani kama wewe ni organisation ya marioo mkaka mremboo Hana akili anakuambia kiingilio 30,000k Sasa unazani utafanyaje unawapa vichambo
 
Kwahyo unapeleka ujumbe kwa ex-shemela kula wewe ushachukuliwa na ushaliwa vile vile co
 
halafu ukutane namajike dume Kama girles... mbona utakoma.🤣
 
dada acha kuiba vibabu vyawatu nakuja kutamba humu.sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…