Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #41
Haha yupo resi sanaš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha yupo resi sanaš
Siku hizi hadi wazee wa 75 wanasongesha chaputa.Miaka yangu 63 hii inanisababishia hofu ya mapenzi kila wakati
Bro huyu ukimla atakuletea uzi wako tu hapaš
Wakifa mie siwataki hata kidogoSiku hizi hadi wazee wa 75 wanasongesha chaputa.
Cha msingi mikono mali
Shikamoo babašSisi wenye miaka yetu 63 tuko wachache sana hunu, ndio maana full kujishtukia
Hadia Raha ni kweli yaani ukisema natafuta mume humu wanakuomba hela ya chakula , hela ya bando , hela ya kila kitu yaani kama wewe ni organisation ya marioo mkaka mremboo Hana akili anakuambia kiingilio 30,000k Sasa unazani utafanyaje unawapa vichamboHumu wanaume wengi choka mbaya, unemployed graduates wanatamani kwa macho tu na kuji babyish kwenye keyboard, ukiambiwa utume muamala bibie anahitaji akale pizza Tammarind unaanza kutetema. Ndio maana mapenzi mengi ya JF hayana maisha marefu.
Wenye pesa nao wanataka watafute mademu wote jukwaani
Mzee wa miaia 63 analia wivu.Wakifa mie siwataki hata kidogo
Hapana humu Sina ila wao wanaoniona kama nipo nipo tu Kwa hiyoKwahyo unapeleka ujumbe kwa ex-shemela kula wewe ushachukuliwa na ushaliwa vile vile co
Charge simuView attachment 2467980
Sasa tutamsaidiaje
Bado na survive sijafikia nyumbani,nilikua natafuta namna ya kumsaidia mzee mwenzangu ambae Mali yake ishaliwa.Charge simu
ššBado na survive sijafikia nyumbani,nilikua natafuta namna ya kumsaidia mzee mwenzangu ambae Mali yake ishaliwa.
halafu ukutane namajike dume Kama girles... mbona utakoma.š¤£Humu wanaume wengi choka mbaya, unemployed graduates wanatamani kwa macho tu na kuji babyish kwenye keyboard, ukiambiwa utume muamala bibie anahitaji akale pizza Tammarind unaanza kutetema. Ndio maana mapenzi mengi ya JF hayana maisha marefu.
Wenye pesa nao wanataka watafute mademu wote jukwaani
Evelyn Salt quoted:-
Wanaume wa jf mnalala sana kubabake zenu
Bado na survive sijafikia nyumbani,nilikua natafuta namna ya kumsaidia mzee mwenzangu ambae Mali yake ishaliwa.
Kuna mwenye kichwa cha chaja ya infinix aniazime