Mwamnyeto kuzikosa mechi muhimu sana za Al-Merreikh ni fundisho kwake na wazawa

Mwamnyeto kuzikosa mechi muhimu sana za Al-Merreikh ni fundisho kwake na wazawa

Huo ndio uswahili wenyewe kwa wachezaji wazawa. Baba akiwa mgonjwa sehemu yake sahihi ni hospitali na wajibu wa mchezaji kama Mwamnyeto ni kumkatia bima ya matibabu wazazi wake. Kwahiyo yeye alikwenda kufanya nini kwa baba yake? Je, kama mwamnyeto angekuwa anacheza mpira timu za Ulaya angerudi Tanga kumjulia hali baba yake mgonjwa kama alivyofanya? Akumbuke kuwa kocha wa Yanga sio Charles Mkwasa ambae anazifahamu mila na desturi zetu.
Unayo hoja ya msingi sana.
Usikilizwe japo watu makini pekee warakuelewa
 
Sisi mashabiki hatujui ukubwa wa tatizo lilisababisha Kapteni wa Yanga, Mwamnyeto kushindwa kwenda Rwanda kwenye mechi muhimu saaaaana kwa timu ya Yanga dhidi ya Al-Merreikh. Kama mchezaji kiongozi wa timu mechi hii haikuwa ya kukosa kwasababu hafifu hafifu tu na dhaifu.

Vitu pekee ambavyo vingeweza kusababisha kapteni wa timu kuikosa mechi ya muhimu kama ile ingekuwa labda kuumwa sana kwa mchezaji, mazishi ya mzazi, mke, au mtoto wako aliyefariki wakati wa maandalizi ya mechi na mpango wa kocha kwenye mechi husika, zaidi ya hapo mchezaji professional hatakiwi kukosa mechi muhimu kama ile kwasababu ndogondogo na fupifupi (trivial). Ni heri asicheze uwanjani lakini awepo kwenye benchi kwaajili ya kuwatia hamasa wachezaji wenzake.

Kukosekana kwa Kapteni wa timu kwenye mechi kunaongeza morali kwa timu pinzani na kupunguza morali kwa wachezaji wa timu yake, benchi la ufundi, uongozi na hata mashabiki wa timu, sio jambo ambalo kocha makini atalifurahia hata kidogo. Anaweza kukuchukia milele kwakuwa huaminiki (not reliable and dependable).

Hii inawezekana ni sababu kwa kocha Gamondi kutomjumuisha kwenye kikosi cha kilichocheza marudiano na Al-Merreikh pale chamazi. Wachezaji wazawa lazima muwe real professionals.
Haya ndiyo madhara ya bangi Mkuu. Sijui kama utapona.
Baangiiiiii imekudhuru SANAAAA
 
Kaka uswahili ndio kisiki kikubwa cha wachezaji wazawa kubakia hapo walipo. ni bahati nzuri Yanga ina kikozi kipana, uzembe huu wa mwamnyeto umetoa nafasi kwa mchezaji mwingine kuaminiwa na kocha. Wewe unadhani Mohamed Husein Zimbwe jr. wa Simba yeye hauguliwi, hafiwi, haumii? Bro, malengo ya mwajili yanakaa mbele ya malengo ya mwajiliwa. Kama baba anaumwa na yuko hospitali tayari nitakwenda kumjulia hali nikirudi Rwanda kwenye maokoto kwanza. Kama baba yange angekuwa amefariki ingekuwa jambo lingine kabisa, no one angeweza kusikitika wala ku-mind. Gamondi aliendelea kumuweka nje ili amalizane na uswahili wake kwanza. Nimemsikia Gamondi akisema angetaka asajili wachezaji wengine kwaajili ya makundi na hatua nyingine, huenda kitendo cha mwamnyeto kilimshtua kwelikweli,
Wewe ni mpuuzi sana, huwajui wazungu na wala hujawahi kuishi na wazungu, tuliize tulioishi uzunguni na kufanya kazi na Wazungu.

Kwa wazungu Family first, ndio priority number moja kwao.
 
Kama mwajiri wake alimruhusu, sioni kama kuna tatizo wala funzo hapo.
Una mtoto mdogo/mchanga analelewa na house girl wakati wazazi wanakwenda kazini kila siku, asubuhi unaamka mfanyakazi wako anakwambia nataka kwenda nyumbani baba yangu ana homa, utafanya nini kati ya haya yafuatayo: Je, utamruhusu aende zake ili wewe usiende kazini kazini kwasi, wiki na mwezi huo? Je, utamwambia subiri kidogo nitafute mtu mwingine wa kukaa na mtoto? Je, utamwambia subiri uondoke weekend/likizo wakati mama haendi kazini? Je, unadhani uongozi ulikuwa very happy kumruhusu mchezaji aende nyumbani siku 1 kabla ya mechi na Al-merreikh? Je, kocha alijisikiaje, raha au huzuni? Je, walimruhusu aende kwakuwa mchezaji ameomba au walimruhusu kwakuwa timu ina mchezaji mwingine mzuri kama au kuliko Mwamnyeto?
 
Sisi mashabiki hatujui ukubwa wa tatizo lilisababisha Kapteni wa Yanga, Mwamnyeto kushindwa kwenda Rwanda kwenye mechi muhimu saaaaana kwa timu ya Yanga dhidi ya Al-Merreikh. Kama mchezaji kiongozi wa timu mechi hii haikuwa ya kukosa kwasababu hafifu hafifu tu na dhaifu.

Vitu pekee ambavyo vingeweza kusababisha kapteni wa timu kuikosa mechi ya muhimu kama ile ingekuwa labda kuumwa sana kwa mchezaji, mazishi ya mzazi, mke, au mtoto wako aliyefariki wakati wa maandalizi ya mechi na mpango wa kocha kwenye mechi husika, zaidi ya hapo mchezaji professional hatakiwi kukosa mechi muhimu kama ile kwasababu ndogondogo na fupifupi (trivial). Ni heri asicheze uwanjani lakini awepo kwenye benchi kwaajili ya kuwatia hamasa wachezaji wenzake.

Kukosekana kwa Kapteni wa timu kwenye mechi kunaongeza morali kwa timu pinzani na kupunguza morali kwa wachezaji wa timu yake, benchi la ufundi, uongozi na hata mashabiki wa timu, sio jambo ambalo kocha makini atalifurahia hata kidogo. Anaweza kukuchukia milele kwakuwa huaminiki (not reliable and dependable).

Hii inawezekana ni sababu kwa kocha Gamondi kutomjumuisha kwenye kikosi cha kilichocheza marudiano na Al-Merreikh pale chamazi. Wachezaji wazawa lazima muwe real professionals.

Shabiki maandazi. Kwa nini usiwe kocha?
 
Sisi mashabiki hatujui ukubwa wa tatizo lilisababisha Kapteni wa Yanga, Mwamnyeto kushindwa kwenda Rwanda kwenye mechi muhimu saaaaana kwa timu ya Yanga dhidi ya Al-Merreikh. Kama mchezaji kiongozi wa timu mechi hii haikuwa ya kukosa kwasababu hafifu hafifu tu na dhaifu.

Vitu pekee ambavyo vingeweza kusababisha kapteni wa timu kuikosa mechi ya muhimu kama ile ingekuwa labda kuumwa sana kwa mchezaji, mazishi ya mzazi, mke, au mtoto wako aliyefariki wakati wa maandalizi ya mechi na mpango wa kocha kwenye mechi husika, zaidi ya hapo mchezaji professional hatakiwi kukosa mechi muhimu kama ile kwasababu ndogondogo na fupifupi (trivial). Ni heri asicheze uwanjani lakini awepo kwenye benchi kwaajili ya kuwatia hamasa wachezaji wenzake.

Kukosekana kwa Kapteni wa timu kwenye mechi kunaongeza morali kwa timu pinzani na kupunguza morali kwa wachezaji wa timu yake, benchi la ufundi, uongozi na hata mashabiki wa timu, sio jambo ambalo kocha makini atalifurahia hata kidogo. Anaweza kukuchukia milele kwakuwa huaminiki (not reliable and dependable).

Hii inawezekana ni sababu kwa kocha Gamondi kutomjumuisha kwenye kikosi cha kilichocheza marudiano na Al-Merreikh pale chamazi. Wachezaji wazawa lazima muwe real professionals.
Sasa kama hujui ukubwa wa tatizo unalalama nini? Ukubwa wa tatizo unatofautiana kadri unavyolichukulia. Tatizo kubwa kwako linaweza kuwa dogo Kwa mwingine. Tuheshimu maamuzi ya Mwanyeto ana akili timamu.
 
Wewe ni mpuuzi sana, huwajui wazungu na wala hujawahi kuishi na wazungu, tuliize tulioishi uzunguni na kufanya kazi na Wazungu.

Kwa wazungu Family first, ndio priority number moja kwao.
ACHA utani,mwaka 2016 Kalidou Koulibaly mke wake alikua yupo labor anatakiwa kujifungua,siku hiyo wana game na sassuolo akamwambia Coach Sarri ampe ruhusa akamuangalie mke wake anajifungua mtoto wao wa Kwanza..Sarri akamgomea katakata na kweli hajaenda,na hakupangwa dk zote 90 bench....so hisia na kua professional vitu viwili tofauti niffah
 
Wewe ni mpuuzi sana, huwajui wazungu na wala hujawahi kuishi na wazungu, tuliize tulioishi uzunguni na kufanya kazi na Wazungu.

Kwa wazungu Family first, ndio priority number moja kwao.
wewe ni mjinga sana, tena mjinga kwelikweli hata hao wazungu huwajui kabisaa. Mzungu familia yake ni yeye, mke/mume na mtoto. mzazi wake sio saaana, na ndiyo maana wazazi wakizeeka wanapelekwa kulelewa hukooo kwa vikongwe mbali na familia yake. Hii ni tofauti na sisi ambao tunaburuzana na vikongwe wetu majumbani mwetu tukiwasaidia hiki na kile (uswahili). Kama huyo aliyemfanya akose mechi muhimu angekuwa ni mke au mtoto wake nisingeandika mada hii. Vijana wengi wako ng'ambo huko kusaka maisha na kuwaacha wazazi wao huko vijijini kwao, kwanini hawaendi na wazazi nao huko ulaya?
 
wewe ni mjinga sana, tena mjinga kwelikweli hata hao wazungu huwajui kabisaa. Mzungu familia yake ni yeye, mke/mume na mtoto. mzazi wake sio saaana, na ndiyo maana wazazi wakizeeka wanapelekwa kulelewa hukooo kwa vikongwe mbali na familia yake. Hii ni tofauti na sisi ambao tunaburuzana na vikongwe wetu majumbani mwetu tukiwasaidia hiki na kile (uswahili). Kama huyo aliyemfanya akose mechi muhimu angekuwa ni mke au mtoto wake nisingeandika mada hii. Vijana wengi wako ng'ambo huko kusaka maisha na kuwaacha wazazi wao huko vijijini kwao, kwanini hawaendi na wazazi nao huko ulaya?
Mental case.
 
Hivi ni vihoja tu, hakuna hoja hapo ni upuuzi mtupu.

Shabaan Nonda alikodiwa ndege na Monaco kutoka Congo kwenda kutibiwa mafuwa Ufaransa.
ndo umesema nini, nonsense, uswahili tu wa local players, na anaweza kulisugua benchi kwa uswahili kama ule. Ajali aliyopata Che Malone, angekuwa ni mswahili asingecheza mechi na dyanamos, angetumia muda huo kwenye kwa waganga kupiga ramli ya why me?
 
ACHA utani,mwaka 2016 Kalidou Koulibaly mke wake alikua yupo labor anatakiwa kujifungua,siku hiyo wana game na sassuolo akamwambia Coach Sarri ampe ruhusa akamuangalie mke wake anajifungua mtoto wao wa Kwanza..Sarri akamgomea katakata na kweli hajaenda,na hakupangwa dk zote 90 bench....so hisia na kua professional vitu viwili tofauti niffah
Kujifunguwa ni ugonjwa? Labda Africa.
 
ndo umesema nini, nonsense, uswahili tu wa local players, na anaweza kulisugua benchi kwa uswahili kama ule. Ajali aliyopata Che Malone, angekuwa ni mswahili asingecheza mechi na dyanamos, angetumia muda huo kwenye kwa waganga kupiga ramli ya why me?
Mental case.
 
Mental case.
nyie ndio wale wenye excuse nyingi za kipumbavu makazini huku mkilipwa mishahara ya bure bila kazi. Mara jirani kafa, mala baba amejamba vibaya leo visivyo kawaida yake, mara mjomba mara hawala.
 
nyie ndio wale wenye excuse nyingi za kipumbavu makazini huku mkilipwa mishahara ya bure bila kazi. Mara jirani kafa, mala baba amejamba vibaya leo visivyo kawaida yake, mara mjomba mara hawala.
Umenichekesha sana mkuu
 
nyie ndio wale wenye excuse nyingi za kipumbavu makazini huku mkilipwa mishahara ya bure bila kazi. Mara jirani kafa, mala baba amejamba vibaya leo visivyo kawaida yake, mara mjomba mara hawala.
Pumbavu kabisa, unadhani kila mtu ni tutusa kama wewe wa kutegemea kuajiliwa?
 
Familia inayomsumbua mzungu ni ile ya mke/mume na mtoto wake, baba na mama kuna watu wengi kama mkewe, kaka, dada, wajukuu, shangazi wanaweza kwendaga huko wakati mimi ninakamilisha taratibu nyingine. Sanasana naweza kuwatumia fedha ya ambulance na matumizi/matibabu wakati mimi nikimalizia shughuli muhimu, yaani nitaungana na nyinyi baadae. hata wanafunzi vyuoni na mashuleni wakati wa mitihani huwa wanafichwa kuambiwa matukio mabaya yanayotokea nyumbani kama ugonjwa au kifo cha mwanafamilia hadi atakapomaliza mitihini yake yote, sembuse mechi ya kufuzu makundi na wewe ndiye kapteni wa timu. Uswahili tu bhana.
Mwanyeto ni mzungu?
 
Huo ndio uswahili wenyewe kwa wachezaji wazawa. Baba akiwa mgonjwa sehemu yake sahihi ni hospitali na wajibu wa mchezaji kama Mwamnyeto ni kumkatia bima ya matibabu wazazi wake. Kwahiyo yeye alikwenda kufanya nini kwa baba yake? Je, kama mwamnyeto angekuwa anacheza mpira timu za Ulaya angerudi Tanga kumjulia hali baba yake mgonjwa kama alivyofanya? Akumbuke kuwa kocha wa Yanga sio Charles Mkwasa ambae anazifahamu mila na desturi zetu.
OVyoo kabisa,bima itamvalisha pampasi au kunpikia uji,we ni jatili sana
 
Back
Top Bottom