KimpaGhasha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2020
- 327
- 459
Acha fikra za kijinga aisee, hujui alikuwa na umuhim gani kwa wakat huo.. ni sahihi alichokifanya kuna watu familia zao ndo kila kitu kwao yuko tayari kwa kila kitu ilimradi familia yake iwe salama.. we unaona kitu kidog ila kwake nikikubwa saana..Huo ndio uswahili wenyewe kwa wachezaji wazawa. Baba akiwa mgonjwa sehemu yake sahihi ni hospitali na wajibu wa mchezaji kama Mwamnyeto ni kumkatia bima ya matibabu wazazi wake. Kwahiyo yeye alikwenda kufanya nini kwa baba yake? Je, kama mwamnyeto angekuwa anacheza mpira timu za Ulaya angerudi Tanga kumjulia hali baba yake mgonjwa kama alivyofanya? Akumbuke kuwa kocha wa Yanga sio Charles Mkwasa ambae anazifahamu mila na desturi zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app