Mwamnyeto kuzikosa mechi muhimu sana za Al-Merreikh ni fundisho kwake na wazawa

Acha fikra za kijinga aisee, hujui alikuwa na umuhim gani kwa wakat huo.. ni sahihi alichokifanya kuna watu familia zao ndo kila kitu kwao yuko tayari kwa kila kitu ilimradi familia yake iwe salama.. we unaona kitu kidog ila kwake nikikubwa saana..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
yeye ni daktari? alisaidia nini baba yake kupona? Kocha ni mzungu, na ana mipango yake. Klabu haiwezi kukosa kwenda makundi baada ya miaka 25 ya kusubiri kwasababu eti wewe baba yako ni mgonjwa tu hajafa.
Hili kumbe box,
Ndo shida za smartphone za mikopo.. sa zubaa kwenye jf usipate ela yakulipia leo wakuzimie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mifano ya hivyo ni mingi sana. Objective aliyopewa kocha Gamondi na benchi lake la ufundi ni kuipeleka Yanga makundi la sivyo kibarua chake hakitaeleweka. Mchezaji muhimu sana (Kapteni) siku ya mwisho ya maandalizi ya mechi mchezaji anamwambia kocha wake kuwa hatakwenda kucheza kwakuwa baba yake hajisikii vizuri, habari kama hiyo LAZIMA itamchanganganya kila mdau lakini sanasana kocha ambae anajua umuhimu wa Bakari kundini. Amerudi na kufikia kwenye mbao ndefu ya kocha hadi aseme.
 
sawa, lakini watu makini wanaofanya scouting ya wachezaji kwa weledi kwenda kucheza timu kubwa huko nje hawezi kumchukua mchezaji mwenye sifa kama hii. Ataendelea kuwa local player hadi azeeke.
 
Umeandika uzi ukafanya na conclusion kabisa bila kujua sababu za mchezaji kusafiri na timu(ajabu hii[emoji144])
Then comment iliyofuata ukapewa ufafanuzi,na uongozi ulikuwa na option mbili aidha wakatae au wamruhusu.Nadhani waliona maelezo yake yana mashiko,wakamruhusu(ukaona kumbe ulikurupuka).... kwahiyo kuanzia utengenezaji wako wa hoja ulishafeli ila utaki kukubali unajiona mwamba mwenyewe kwa kuwakejeli watoa comments kisa wako against na wewe(kioja kingine),unakua fala km kina GENTAMYCIME
 
yeye ni daktari? alisaidia nini baba yake kupona? Kocha ni mzungu, na ana mipango yake. Klabu haiwezi kukosa kwenda makundi baada ya miaka 25 ya kusubiri kwasababu eti wewe baba yako ni mgonjwa tu hajafa.
Kocha ni mzungu!
pdx Schizophrenia
 
Hivi kifo na kuuguza kipi Bora? Nyinyi ndio Aina ya watu mgonjwa anaumwa utoi chochote Ila alifariki mnatoa michango mikubwa ya kujionyesha.
 
AAAh!!! Kocha ni mzungu, atakuwa ameshangazwa kusikia mchezaji amechagua kwenda kumtakia hali baba yake over kucheza mechi ya al-merreikh rwanda, baada ya kushangaa hakuwa na chakufanya zaidi ya kukubaliana nae kwakuwa kocha anafahamu kuwa mipra unachezwa mguuni na kichwani kwa pamoja. Alijua hata kama akienda nae kule hatamwamini kucheza na ku focus kwa 100% kwakuwa mchezaji tayari alishaonyesha kuwa akili ya mchezaji itakuwa nyumbani zaidi kuliko uwanjani. Ni heri aondoke na ameondoka na hakumpanga tena hadi timu imeingia makundi. Kila mchezaji duniani anatamani kucheza mechi kama zile zinazowauza kwenye timu kubwa, hivyo hakuna mchezaji mwenye upeo atafanya kitu kitakachomkosesha kucheza mechi za kimataifa kama zile.
 
Hivi kifo na kuuguza kipi Bora? Nyinyi ndio Aina ya watu mgonjwa anaumwa utoi chochote Ila alifariki mnatoa michango mikubwa ya kujionyesha.
Aaaah! Mchezaji professional anatumia akili badala ya moyo kufikiri, Mwamnyeto alitumia moyo wake kufikiria na kutenda. Bakari ni mdigo, kwao ni Tanga mjini ilipo hospitli ya mkoa ya Bombo hospital ambako baba yake angeweza kupelekwa kupata matibabu, lakini ziko hospitali zingine nzuri kama Hindu Mandal, Burhan, na nyingine nyingi ambazo angeweza kutuma pesa (delegate) matibabu ya mzazi wakati yeye anafanikisha kazi ya kuipeleka makundi timu yake kwanza, hata kama asingecheza lakini kuwepo tu kwenye kikosi ingekuwa muhimu kwa wachezaji wenzake kama kapteni. Uswahili tu kaka.
 
Niuswahili tu ila haikua lazima kuacha mechi kwakua tayar mzee yupo hospital nandugu wengine wapo...
 
Nakuelewa mkuu, kuna jamaa yetu alifiwa na Mama yake kipindi tunafanya mitihani ya form Six, ilinidi afichwe japo alihisi kama Kuna kitu anafichwa. Alipomaliza mitihani ndo akaambiwa
 
Niuswahili tu ila haikua lazima kuacha mechi kwakua tayar mzee yupo hospital nandugu wengine wapo...
Ameshindwa kutofautisha kati ya mechi ya ligi na mechi ya mabingwa wa Afrika. Kama inhelikuwa mechi ya kawaida ya ligi (sio derby) isingekuwa issue sana. Kama mzazi angekuwa amefariki ingekuwa pia issue nyingine
 
Hivi unajua sababu ya yeye kutokwenda Rwanda? Mbona Klabu walitoa taarifa rasmi kuwa anauguliwa na baba yake?
Wewe unaweza kumuacha baba yako mahututi ukaenda kuitumikia klabu?
Titi camara mchezaji wa zamani wa liverpool alipewa taarifa za kifo cha babake mzazi masaa matatu kabla ya mechi na alicheza

Obi mikel akiwa chelsea baba yake alitekwa nyumbani nigeria lakini bingwa alicheza mechi na akakichafua vibaya

Hio ni mifano michache nilyokupa tena yenye sababu nzito nzito ijekuwa ya mzazi kuumwa?

Kwa mwamnyeto ndio amekuwa daktari kwamba alivyobaki ndio mzee wake akapata nafuu?

Ifikie kipindi waxhezaji wetu wajifunze kuwa professional excuse ndogo ndogo km za mzee kuumwa waachane nazo.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hivi unajua sababu ya yeye kutokwenda Rwanda? Mbona Klabu walitoa taarifa rasmi kuwa anauguliwa na baba yake?
Wewe unaweza kumuacha baba yako mahututi ukaenda kuitumikia klabu?
Hata ningekuwa mimi nisingemuacha mzazi wangu
 
Local boys, pumbavu!! Kumbe ndio nyinyi mnaosababisha vijana wetu hawaendi kucheza nje ili wabaki kuwavalisha wazazi wao pampas. Kama Mzee Samantha angeugua huko mbagala rangi 3 Mbwana Samata angekuja kutoka Genk kumvisha pampas? Unaongea uharo wako.
 
Swali la masingi

Mwamnyeto ni doctor?

Kwamba kubaki kwake nchini ndio mzee wake ndio akapata nafuu au?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Unajua kilicho kua nyuma ya story ya Baba yake Mikael Obi?
 
Nakuelewa mkuu, kuna jamaa yetu alifiwa na Mama yake kipindi tunafanya mitihani ya form Six, ilinidi afichwe japo alihisi kama Kuna kitu anafichwa. Alipomaliza mitihani ndo akaambiwa
Mtoto mdogo kama huyo kafichwa ili atimize jukumu muhimu, sembuse mechi ya kufuzu makundi. Angekuwa mm ningemvua kitambaa Cha ukapteni wa timu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…