saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Avunie Dar ajenge Mbeya! Watanzania wengi wapumbavu sana wanashindwaje kung'amua kwamba ni matapeli wanatafuta pesa kwa uwizi wa wazi kabisa. Halafu kwanini wanyakyusa ndiyo ndio wanaojipatia pesa kwa njia hii? Watu hawastuki, huyo ni Mungu wa kabila la wanyakyusa? Nchi hii mapoyoyo yataisha lini?Kurudisha fadhila kwa jamii, watu watakua wanalala bure au kufanya matukio yao bure?
Hiyo MIRADI Makusanyo yanaingia kwenye Taasisi... Sasa huyu ndugu yetu na akaunti zenye majina yake je? Halafu alivyo mjanja yeye anaendesha HUDUMA tu na si KANISA linalohitaji kuwa na watu wengine Ili liandikishwe...Watz ni watu wa ajabu
Mlitaka afe masikini?
MUNGU wetu si masikini, Mtu kuwekeza imekuwa nongwa?
Mbona hata makanisa mengine Roman, KKKT, Moravian nk wamewekeza kwenye shule, hospital na miradi mingine mingi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kuna swimming pool la maji ya upako
Hiyo MIRADI Makusanyo yanaingia kwenye Taasisi... Sasa huyu ndugu yetu na akaunti zenye majina yake je? Halafu alivyo mjanja yeye anaendesha HUDUMA tu na si KANISA linalohitaji kuwa na watu wengine Ili liandikishwe...
Hao mashehe wanaolegea watu na kufanya uganga kupitia quran sio biashara hiosema ukiristo.usiziingize dini nyingine hapo.
taja mmoja? halafu usitaje wahuni taja shehe maarufu anae julikana halafu nimganga🤣Hao mashehe wanaolegea watu na kufanya uganga kupitia quran sio biashara hio
Yaani nimtaje jina lake huku jamiiforum we mbona unatumia I'd faketaja mmoja? halafu usitaje wahuni taja shehe maarufu anae julikana halafu nimganga🤣
mbona mwamposa tunamtaja ninabii feki?Joe devo nae ninabii feki🤣🤣 nitajie shehe maarufu mganga. wewe kiazi😂Yaani nimtaje jina lake huku jamiiforum we mbona unatumia I'd fake
Ntajie jina lako kwanzambona mwamposa tunamtaja ninabii feki?Joe devo nae ninabii feki🤣🤣 nitajie shehe maarufu mganga. wewe kiazi😂
mbona mwamposa tunamtaja ninabii feki?Joe devo nae ninabii feki[emoji1787][emoji1787] nitajie shehe maarufu mganga. wewe kiazi[emoji23]
🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]
naitwa abubakari.ehe nitajie jina lashehe mganga ambae nimaarufu.Ntajie jina lako kwanza
Akili ndugu yangu. Ana akili za kutaoeli. Acha apige pesaNakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
Hamtakojolea humo? Maana sionagi Watu wakitoka swimming pool kwenda chooni kukojoa 😂😂😂Swimming pool zote zitakuwa na upako
Sidhani kama kuna tatizo yeye kumilki vitu hivyo. Kwenye injili tunasoma mtume Paulo alikuwa akishona mahema enzi hizo. Labda leo tungesema alimilki kiwanda cha maturubai na mahema. Kudos Bulldozer😎Nakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
🤣🤣Nakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
NJOO MBEZ BEACH UONEE KASSRI LA BISHOP WA MWENGEMtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine lililopo kawe Jijini Dar es Salaam amejenga hotel ya kisasa jijini Mbeya ambayo imezinduliwa leo hii na Spika wa Bunge la Jamhuri ya mmMuungano wa Tanzania Dr.Tulia Ackson.
Mtume Mwamposa amejenga hotel hiyo ili kurudisha fadhila kwa jamii aliyokulia.
View attachment 2463457
Source: Clouds Media
Mbususu pia tutazilia humo humo... Wajinga ndio waliwaoPombe zitauzwa humo au