Mwamposa ajitetea kuwakamua waumini 'sadaka ya kujimaliza', atoa ufafanuzi mujarabu

Mwamposa ajitetea kuwakamua waumini 'sadaka ya kujimaliza', atoa ufafanuzi mujarabu

Waafrika bado tunaamini sana miujiza.
Matatizo yako ( yetu) hayatoondoka kwa miujiza. Kaa chini umiza kichwa

Mwamposa matatizo yake yashaisha kakaa chini kaumiza kichwa.
Na hili ndilo tatizo hasa linaloturudisha nyuma kimaendeleo.
 
Yeye mwamposa anajimaliza kwa nani?
Wanayoyahubiri wao wenyewe hawayafanyi maana wanajua wazi hayana ukweli wowote. Utasikia matangazo yao ya mikutano kwamba wagonjwa waende waombewe wapone. Wao wenyewe wakipata matatizo ya kiafya hawaendi kuombewa wanaenda kutibiwa hospitali nzuri kwa pesa walizochuma kwa wajinga!
 
Wanayoyahubiri wao wenyewe hawayafanyi maana wanajua wazi hayana ukweli wowote. Utasikia matangazo yao ya mikutano kwamba wagonjwa waende waombewe wapone. Wao wenyewe wakipata matatizo ya kiafya hawaendi kuombewa wanaenda kutibiwa hospitali nzuri kwa pesa walizochuma kwa wajinga!
Wajinga ndio waliwao. Nchi hii isingekuwa na wajinga akina Mwamposa wangekula wapi?
 
Wajinga ndio waliwao. Nchi hii isingekuwa na wajinga akina Mwamposa wangekula wapi?
Huko kwenye makanisa yasiyo na uratibu wowote ndio matapeli wanakimbilia siku hizi maana wanatapeli mchana kweupe wala hakuna mamlaka inayowatia mbaroni. They have found green pastures wanakula kwa raha zao! Utapeli in the name of Jesus!!!
 
Wanatuharibia taifa kwa kuwalisha watu mihadarati ya kiroho sasa watu hawatumii akili na muda vizuri kujiletea maendeleo wamebaki kukesha usiku kucha kumpigia Mungu makelele ya kutaka miujiza.
 
Huko kwenye makanisa yasiyo na uratibu wowote ndio matapeli wanakimbilia siku hizi maana wanatapeli mchana kweupe wala hakuna mamlaka inayowatia mbaroni. They have found green pastures wanakula kwa raha zao! Utapeli in the name of Jesus!!!
Kweli kabisa mkuu. Kuna haja ya serikali kuwachunguza hawa wahuni na kuwachukulia hatua kali za kisheria kwa utapeli wanaowafanyia wapiga kura.
 
IMG-20240505-WA0030.jpg
 
Kule Rwanda ndio maana Kagame aliwakataza wachungaji wa mchongo
 
Labda kwa mbumbumbu aliyeshindikana ndie anaeweza kulamba pesa zote na kumpelekea binadamu mjanja. Serikali haioni huu upumbavu?
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Mtume Boneface Mwamposa (Bulldozer) amefafanua kwa ufasaha maana ya "sadaka ya kujimaliza" inayotolewa na waumini wa kanisa lake baada ya kupokea shutuma mbalimbali kutoka kwa wananchi kwamba amekuwa akiwakamua waumini hela zote hadi wanakosa nauli ya kurudia majumbani kwao.

Ufafanuzi uliotoka ni kwamba kutoa sadaka ya kujimaliza sio kutoa fedha zote ambazo mtu amekwenda nazo kanisani. La hasha! Maana ya sadaka ya kujimaliza ni kutoa fedha zako zote ulizonazo benki na kuziwasilisha kwa mtume kama sadaka. Kwa mfano, kama una akaunti 5 kwenye benki tofauti, komba pesa zote zilizomo kwenye akaunti hizo umtolee Mungu wako. Hii ndio maana halisi ya sadaka ya kujimaliza. Yaani unajimaliza kabisa na kuanza upya!

Mtume amesema hayo zikiwa zimesalia siku chache kabla ya mkesha wa mwaka mpya unaoenda kwa kaulimbiu ya "vuka na chako" utakaofanyika kanisani kwake katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam.

MAONI YANGU
Binafsi nimewahi kusimuliwa na muumini mmoja aliyetoa sadaka fedha zote alizokuwa nazo hadi nauli lakini wakati anaondoka kwa miguu kuelekea kwake Gongolamboto akitokea Kawe, mtume akamfanyia muujiza akaokota noti ya Tsh 5000 akaitumia kama nauli, yeye na wanawe wawili aliokuwa ameandamana nao.

Afadhali sasa ufafanuzi umewekwa wazi kwani waumini na wananchi walikuwa hasa hawafahamu maana ya sadaka ya kujimaliza. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Mungu wa Mwamposa hajawahi kushindwa.

Nawasilisha.

Pia soma >
Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini
View attachment 2978474
Mwamposa anazidi kuwa tajiri Kwa ujinga wa watu
 
Labda kwa mbumbumbu aliyeshindikana ndie anaeweza kulamba pesa zote na kumpelekea binadamu mjanja. Serikali haioni huu upumbavu?
Serikali inamchukulia Mwamposa kama mshirika wake kwenye utawala kwa kuwa anasaidia kuwapumbaza maskini ili CCM iwatawale vizuri.
 
Back
Top Bottom