Mwamposa anauwezo wa kuombea mikeka yangu ikatiki?

Ana uwezo ila changamoto malipo ni kabla 😀😀😀😀
 
Bila shaka amekuelewa
Fika Kwa Mtume chukua mafuta na maji ya upako
Kabla ya kubet kunywa nusu glass ya maji
Chukua kalamu utakayochorea mkeka paka mafuta ya upako
Paka kidogo kwenye uso na nyao
Usisahau kutoa sadaka ya kujimaliza
Utaona muujiza wako
 
Fika Kwa Mtume chukua mafuta na maji ya upako
Kabla ya kubet kunywa nusu glass ya maji
Chukua kalamu utakayochorea mkeka paka mafuta ya upako
Paka kidogo kwenye uso na nyao
Usisahau kutoa sadaka ya kujimaliza
Utaona muujiza wako
Ayo maji ayo, kuna mmoja amelazw ini zote hazifanyi kaz kwa kunyw maji kama hayo, kumbe yanachanganyw na vitu ambavy vilikua vinamuatjir taratb, kuweni makini
 
Huyo Mwamposa atakuombea kwa Mungu yupi?

Au huyu huyu Mungu aliyesema kula RIBA ni haramu?
 
Kuna mikeka nimesuka mitatu ikitiki tu hiyo baasi. Wale mashabiki wa mwamposa hivi huyu bwana anaweza kuiombea kwa makubaliano kuwa ikitiki nitamlipa 5%?
Mungu haçhezi kamari, wewe nenda kwa manyaunyau ndo ana hayo mazingaombwe.
 
Kuna mikeka nimesuka mitatu ikitiki tu hiyo baasi. Wale mashabiki wa mwamposa hivi huyu bwana anaweza kuiombea kwa makubaliano kuwa ikitiki nitamlipa 5%?
Hiyo mikeka fahamu kuwa unabudu miungu mingine.Mtafute Mungu wa pekee kwanza na ufalme wake naye ataweza kukupa mikeka ya kudumu
 
🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…