ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
😀🤥😀KANJI harogeki KANJI hadanganyiki🤣🤣🤣🤣
Nawajaza tu wamchangie Mwamposa ajenge mahoteli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀🤥😀KANJI harogeki KANJI hadanganyiki🤣🤣🤣🤣
😀😅😀kwa nini usiende wewe😂
😀😅😀Wewe watakupiga sasa
Alafu wanakutafuta😀😅😀
Wacha tule sadaka za wapumbavu
Tapeli TU😀😅😀
Hutaki Mwamposa aendelee kujenga mahoteli ya nyota 5
Kama anataka sadaka si abeti yeye. Ye kazi yake kuombea tu,Sadaka baada ya mikeka yote kutiki, atapata 5%
Fika Kwa Mtume chukua mafuta na maji ya upako
Kabla ya kubet kunywa nusu glass ya maji
Chukua kalamu utakayochorea mkeka paka mafuta ya upako
Paka kidogo kwenye uso na nyao
Usisahau kutoa sadaka ya kujimaliza
Utaona muujiza wako
Upo uweponi?😹😹😹😹 halleloyaahhh
Aaah sitaki vitaAlafu wanakutafuta
Ayo maji ayo, kuna mmoja amelazw ini zote hazifanyi kaz kwa kunyw maji kama hayo, kumbe yanachanganyw na vitu ambavy vilikua vinamuatjir taratb, kuweni makiniFika Kwa Mtume chukua mafuta na maji ya upako
Kabla ya kubet kunywa nusu glass ya maji
Chukua kalamu utakayochorea mkeka paka mafuta ya upako
Paka kidogo kwenye uso na nyao
Usisahau kutoa sadaka ya kujimaliza
Utaona muujiza wako
Mungu haçhezi kamari, wewe nenda kwa manyaunyau ndo ana hayo mazingaombwe.Kuna mikeka nimesuka mitatu ikitiki tu hiyo baasi. Wale mashabiki wa mwamposa hivi huyu bwana anaweza kuiombea kwa makubaliano kuwa ikitiki nitamlipa 5%?
Hiyo mikeka fahamu kuwa unabudu miungu mingine.Mtafute Mungu wa pekee kwanza na ufalme wake naye ataweza kukupa mikeka ya kudumuKuna mikeka nimesuka mitatu ikitiki tu hiyo baasi. Wale mashabiki wa mwamposa hivi huyu bwana anaweza kuiombea kwa makubaliano kuwa ikitiki nitamlipa 5%?
HahahaIngekua hivyo mbona jackpot zingekua hazilalali
Sawa basi itabidi fanya juu chini jioni uonane nao mkuuAaah sitaki vita
Me rafiki wa wote hapa jamii forums
Akina nani?Sawa basi itabidi fanya juu chini jioni uonane nao mkuu
Wakaka flan wapo kule uzi wa intelligenceAkina nani?
🤣Aloo hizi dini zimekuwa shida sana hapa bongo.
Serikali inabidi iingilie kati.. inafanya watanzania kuwa wavivu wakufikiri. Alafu kwa uvivu huu wa kutumia akili kweli bado watz mnajipa matumaini ya kwenda mbinguni 🤣🤣🤣🤣🤣
Shenz type watz wote motoni hamna akili msije mkanajis mbingu bure