Ulizunguka hospitali kwa muda gani mkuuWewe nae acha bangi zako. Kama nilipona kansa ya koo baada ya kuteseka sana hospital bila nafuu na hatimaye nkapona kwake ntaanzaje kufikiria mahoteli yake. Shenz typ
Unaijua Mil 300 au unajiongelea tu subuleni kwa Dada yako ulipolala?πππWenzako leo wanaingiza mil 300 kila mmoja we endelea tu kusifu na kuimba
Waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu.Amani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046
Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.
Nawasilisha.
Miaka miwili nkitoka hospital hii naenda ile. Waganga wa kienyej kwa sana lkn hola. Hadi nlipoamua kuhudhuria ibada hapo kawe. Jion flan hv tulivu mwamba alik8wa anaombea mmoja mmoja. Alvonishika kichwa akatulia kdg thn kanishika kifua akasepa. Nkahisi kutapika, nikatapika damu ya kutosha. Siku 2 mbele nikaanza na kuongea bila shida nikala kama kawaida had leo cnaga hzo mambo za mateso tenaUlizunguka hospitali kwa muda gani mkuu
Poa mkuuMiaka miwili nkitoka hospital hii naenda ile. Waganga wa kienyej kwa sana lkn hola. Hadi nlipoamua kuhudhuria ibada hapo kawe. Jion flan hv tulivu mwamba alik8wa anaombea mmoja mmoja. Alvonishika kichwa akatulia kdg thn kanishika kifua akasepa. Nkahisi kutapika, nikatapika damu ya kutosha. Siku 2 mbele nikaanza na kuongea bila shida nikala kama kawaida had leo cnaga hzo mambo za mateso tena
π π π huyo jamaa anaponya kansa ya koo???!!! hii ni miujiza yesu mwenyewe hakuwahi kuponya mtu kansa, huyu jamaa atakuwa na fungua za mbinguni asee. Shenzi sanaaWewe nae acha bangi zako. Kama nilipona kansa ya koo baada ya kuteseka sana hospital bila nafuu na hatimaye nkapona kwake ntaanzaje kufikiria mahoteli yake. Shenz typ
Hujapata shida shenz ww. Achaπ π π huyo jamaa anaponya kansa ya koo???!!! hii ni miujiza yesu mwenyewe hakuwahi kuponya mtu kansa, huyu jamaa atakuwa na fungua za mbinguni asee. Shenzi sanaa
Kwanini sasa asiende kutembelea wenye shida badala yake anataka wenye shida wamfuate ili awaponye???????!!!!! kwanini huyu tapeli asiingie hata hapo Muhimbili atende miujiza????!!!!Hujapata shida shenz ww. Acha
Ni sehem gan wanakusanywa wenye shida?.Kwanini sasa asiende kutembelea wenye shida badala yake anataka wenye shida wamfuate ili awaponye???????!!!!! kwanini huyu tapeli asiingie hata hapo Muhimbili atende miujiza????!!!!
Mganga ana ganga njaa, hongereni wenye shida zinazoweza kutatuliwa na mwamposaNi sehem gan wanakusanywa wenye shida?.
Mwenye shida humfata mganga.
Monetary doctor tupe updates, nadhani sasa hivi uko bega kwa bega na mmoja kati ya wawili hao.Amani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046
Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.
Nawasilisha.
Huna akiliUnaijua Mil 300 au unajiongelea tu subuleni kwa Dada yako ulipolala?πππ
Hakika kondoo si mnyama wa kufananishwa naye.....yaani mtu unakuwa mjinga mpaka hujitambui akili? Never call me kondoo.Amani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046
Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.
Nawasilisha.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Amani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046
Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.
Nawasilisha.
Ile siku ya maono kuhusu ghorofa kariakoo alikua banana za kutoshaHuyo Malisa nahisi anaingiaga kanisani akiwa amestua kidogo maana yupo high muda wote
Hadi anacheua
Hadi uwe na Imani, kitendo cha kwenda Kawe kanisani kwake maana yake unaamini utapona lakini si yeye kutembelea wagonjwa hospitalini kwa sababu sio wote wanaoamini.Kwanini sasa asiende kutembelea wenye shida badala yake anataka wenye shida wamfuate ili awaponye???????!!!!! kwanini huyu tapeli asiingie hata hapo Muhimbili atende miujiza????!!!!