MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Kondoo nyingine hii, mwamposa endelea kutandika hizi kondoo mpaka akili ziwakae sawaDunia hii wenye shida unajua idadi yao na wako wapi hadi Mwamposa akawatembelee?
Muhimbili watu hawaeñdi kumwabudu Mungu wanaenda kutibiwa. Ukitaka uponyaji wa Mungu unaenda kwa Mwamposa.
Hata waganga wa kienyeji wapo ila hujawahi pendekeza nao waende muhimbili wakaponye watu maana nao wanatibu kwa mazingaombwe na watu hujaa huko kutsfuta tiba.
Ona hii taka taka aisee.Miaka miwili nkitoka hospital hii naenda ile. Waganga wa kienyej kwa sana lkn hola. Hadi nlipoamua kuhudhuria ibada hapo kawe. Jion flan hv tulivu mwamba alik8wa anaombea mmoja mmoja. Alvonishika kichwa akatulia kdg thn kanishika kifua akasepa. Nkahisi kutapika, nikatapika damu ya kutosha. Siku 2 mbele nikaanza na kuongea bila shida nikala kama kawaida had leo cnaga hzo mambo za mateso tena
Wewe ni juha.Kifo cha ghafla cha Nabii Timitope Balugun Joshua kilinisikitisha sana.
Alikuwa na sifa zote za Nabii wa Mungu.
Naona matapeli Wa injiliAmani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046
Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.
Nawasilisha.
Hii ni nyumbu nyingine..Dunia hii wenye shida unajua idadi yao na wako wapi hadi Mwamposa akawatembelee?
Muhimbili watu hawaeñdi kumwabudu Mungu wanaenda kutibiwa. Ukitaka uponyaji wa Mungu unaenda kwa Mwamposa.
Hata waganga wa kienyeji wapo ila hujawahi pendekeza nao waende muhimbili wakaponye watu maana nao wanatibu kwa mazingaombwe na watu hujaa huko kutsfuta tiba.
Mkuu upo?Wenzako leo wanaingiza mil 300 kila mmoja we endelea tu kusifu na kuimba
Mngese ww. Kuna ambae bd ako na akil ndogo kama yako humu?Kumanyoko
Umetumwa kukusanya vichwa humu
Unaona sifa kuwa mshirikina?Hii ni nyumbu nyingine..
We muongo tunajua watu kama nyie huwa mnatengezwa kwa kulipwa ili mtoe shuhuda za uongo ili kuaminisha watu kuwa wayafanyayo hao the so called fu**ing nabii ni ya kweliWewe nae acha bangi zako. Kama nilipona kansa ya koo baada ya kuteseka sana hospital bila nafuu na hatimaye nkapona kwake ntaanzaje kufikiria mahoteli yake. Shenz typ
Full moon mzee hii mikesha haifanyiki kwa bahati mbaya.Amani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046
Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.
Nawasilisha.
Nkitoka❌Miaka miwili nkitoka hospital hii naenda ile. Waganga wa kienyej kwa sana lkn hola. Hadi nlipoamua kuhudhuria ibada hapo kawe. Jion flan hv tulivu mwamba alik8wa anaombea mmoja mmoja. Alvonishika kichwa akatulia kdg thn kanishika kifua akasepa. Nkahisi kutapika, nikatapika damu ya kutosha. Siku 2 mbele nikaanza na kuongea bila shida nikala kama kawaida had leo cnaga hzo mambo za mateso tena
Nipo mkuu. Umenipotea sana eti?Mkuu upo?
Umefanya vyema, kule kuna vishawishi vingi vinavyoweza kutoa kwenye reli.Hapana nipo nyumbn mapenzi yanataka kuniuwa......
Nishasema ntajiombea tuu yaishe kuhangaika hizo sehemu aseeh nimeenda sana kwa sasa nipo na Mungu tuu