Miaka miwili nkitoka hospital hii naenda ile. Waganga wa kienyej kwa sana lkn hola. Hadi nlipoamua kuhudhuria ibada hapo kawe. Jion flan hv tulivu mwamba alik8wa anaombea mmoja mmoja. Alvonishika kichwa akatulia kdg thn kanishika kifua akasepa. Nkahisi kutapika, nikatapika damu ya kutosha. Siku 2 mbele nikaanza na kuongea bila shida nikala kama kawaida had leo cnaga hzo mambo za mateso tena