Mwamposa asingekuwa nabii wa Mungu, angeporomoka kabisa baada ya watu 20 kuuawa kwa kukanyagwa kanisani kwake

Hahah hahah mbona mapovu sana ?
 
Hawa watu ni wapumbavu.
Alikuja tapeli Bushiri kabla hajamaliza kuhubiri MV . Nyerere ikaua mamia ya watu. Ikumbukwe Jana yake aliitabiria mema Tanzania.
Hawa watu Mungu hajawatuma
Acha kumsema vibaya nabii wa Bwana
 
Iandaliwe documentary apelekewe kilema wa kweli amuombee.. yani asitafute yeye wala kutupanga kwa njia yoyote tuone kama hamja tafutana

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Mungu hajaribiwi, mpeleke uone kama kiwete hajapona nanwewe ukauvaa uwete wake
 
Mathayo 24:24
Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
Luka 13:25
Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;

2 Wakorintho 11:13
Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo.

Wafilipi 1:18
Yadhuru nini? Lakini kwa njia zote, ikiwa ni kwa hila, au ikiwa ni kwa kweli, Kristo anahubiriwa; na kwa hiyo nafurahi, naam, nami nitafurahi.
 
Muulize,we si ndio chawa mkuu. Nabii akakimbia eneo la tukio usiku usiku bila aibu yani badala abaki kusaidia waumini wake. Bado wewe siku akikukimbia utaelewa
Haki hii comments imenifanya nicheke🤣
 
Yesu anasema watakuja manabii wa uongo sio atakuja nabii wa uongo ina maana ni wengi akili kichwan[emoji23]
 
Acha kumsema vibaya nabii wa Bwana
Nalijua neno siishi kwa hisia na ujinga.
Bushiri aliondoka Tanzania kimyakimya.
Ikumbukwe jana alitabiri mema juu ya nchi yetu Tanzania, leo inatokea ajali mbaya na kuua mamia.
Hapo tusemeje?
Bushiri alikuja na roho ya mauti au roho ya uzima?
 
Pole sana,umekosa jicho la rohoni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…