KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #81
Hahah hahah mbona mapovu sana ?Hizo habari zenu za kukamata wajinga msiwe mnazileta huku kwa great thinkers..
Mungu yupo.. lakini wewe na mwamposa wako ni matapeli kwasababu mnatumia jina la Mungu kufanya biashara ya maji na mafuta!!
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app